meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Umebakia muda mchache tu kabla ya CHADEMA kutangaza ushindi 2015.
Kwa sasa CCM imeamua kuanzisha vita ya kipropaganda kupitia mitandao ya kijamii na magazeti. Nina hakika hii ni silaha ya mwisho kwa CCM na pale tutakapoweza kuishinda basi njia ya CHADEMA kushika nchi 2015 itakuwa nyeupe.
CCM imeshakataliwa mjini na vijijni, pia imekataliwa na waislamu kwa wakristo,wazee kwa vijana, tunahitaji busara za hali ya juu kupambana na propaganda.
Tumeanza na mungu tutamaliza na mungu.
Kwa sasa CCM imeamua kuanzisha vita ya kipropaganda kupitia mitandao ya kijamii na magazeti. Nina hakika hii ni silaha ya mwisho kwa CCM na pale tutakapoweza kuishinda basi njia ya CHADEMA kushika nchi 2015 itakuwa nyeupe.
CCM imeshakataliwa mjini na vijijni, pia imekataliwa na waislamu kwa wakristo,wazee kwa vijana, tunahitaji busara za hali ya juu kupambana na propaganda.
Tumeanza na mungu tutamaliza na mungu.