Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Habari na udaku mwingi hapa ni ama Chadema au viongozi wa Chadema. Au zinahusu serikali lakini zimeibuliwa na wanachadema. Kama Chadema ikifutwa habari na udaku Hapa JF zitapungua kwa takriban nusu nzima. Habari zitakazobakia zitakuwa hazina mvuto hivyo wanajamvi watadoda. Na magazeti watauza nini?
Kwani vyama vingine vya siasa vimetokomea wapi? Hata ccm pia haipo tena kwenye screen!
Kwani vyama vingine vya siasa vimetokomea wapi? Hata ccm pia haipo tena kwenye screen!