Muarobaini Mchungu
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 281
- 54
Wale wa mujini: so called high class-bongo daresalama
Most of them(nadhani nimeeleweka) wanaishi kutegemea mafisadi,wanafanywa vimada,inamaana huyu fisadi akianguka na maisha ya huyu mwanamke yameisha, kwahiyo usitegemee mwanamke wa hivi akaipa support Chadema. coz all mafisadi na wezi ni CCM.kwahiyo lazima huyu mwanamke apalilie anapokula kwa kuisupport CCM.
UNABISHA?????
Wale wa mujini: so called watoto wa vibosile
Toka anavaa nepi baba yake au mama yake yupo ccm na anaona hayo maisha mazuri yanatoka na baba au mama kuwa fisadi wa ccm, hivi unategemea mtu kama huyu kuipenda Chadema? na ikumbukwe kwamba huyu mtoto wa kibosile ana mashoga zake iwe wenzangu na mimi au wavibosile pia ambao wanampa support.
UNABISHA?????????
Wa uswahilini:
Wanaridhika ukiwapa kanga na kofia za kuziba jua,na hongo ya hapa na pale ili uipe support ccm, nothing else, they dont care about future,wengi wao vilaza ambao wamemaliza darasa la saba au zero ya form four anasubiria mume aolewe, au amebahatika kuolewa anasubiria mume atoke kibaruani alete ugali.
siku yake nzima anaimalizia kibarazani kupiga umbea na kugombana na majirani.
Wa vijijini:
The same as uswahilini,wanachojali ni kwamba leo wameshiba,hawajui kesho itakuaje.mawazo mgando,wanaogopa eti vita, amani itaisha(amani my foot).
NANI ANABISHA???
WANAOIPENDA CCM:
Only independent women,amemaliza vidato lakini elimu yake haimsaidii kwa chochote,hapati kazi,na wale waliopata kazi wanauchungu wa kulipa kodi then hela zinaliwa na mafisadi na wao kuishia gizani na maji yasiyokuwa na uhakika.barabara mbofu mbofu.
I HATE CCM,I wish to kill them one by one
my little secret,please dont share(nafurahi kweli nikisikia kiongozi wa ccm amefariki,either na ajali au na ugonjwa).
sorry kama nimemkwaza mtu
Mkuu hujamkwaza mtu ila haya uliyoyandika ndio yanakukwaza na kwa sababu huna busara katika kuyawakilisha utaendelea kukwazika. Watu wanahitaji kushawishiwa kwa adabu tu haswa akina mama, sijui unafikiri ni mwanamke gani utamfurahisha kwa sentensi yako hii ''I HATE CCM,I wish to kill them one by one
my little secret,please dont share(nafurahi kweli nikisikia kiongozi wa ccm amefariki,either na ajali au na ugonjwa)...unasahau kuwa ndo wazazi wetu wale, na mwenyewe umeshaziongelea weakness zao. Anyway ni mtazamo wangu na naunga mkono hoja kuu kuwa kura nyingi ziko kwa akina mama...........!!!