Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Sawa tuseme Chadema ni chama kibaya sana!
Tuseme kinatetea mabeberu!
Tuseme Lissu ni adui wa nchi!
Tuseme ni chama cha Mbowe!
Hayo mengine tulishasema!
Jiwe amepolarise system yote ya CCM!
Pale lumumba au Chamwino, kwa sasa hakuna wa kumwambia kitu!
Mkapa hayupo.
Mwinyi yuko kwenye mfuko.
Kikwete hajielewielewi, hajui hata leo ni lini.
Kuna nini tena?
Namkubali mzee, ni master wa siasa za kihuni.
Eenhee! CHADEMA haipo tena!
Hesabu zake zimeshakamilika.
Kundi la kina Mdee litapewa uongozi wa chama.
Watahamishiwa account ya chama.
The rest itakuwa kama story ya Maalim na Prof.
Chadema imefika mwisho.
Sisi wapenzi washabiki tunafaidikaje na hizi siasa za kihuni?
Maana tumetumika na tunatumika kuzihalalisha.
Sioni mwisho mwema, 2025 mzee haendi mahali na hakuna wa kumwambia kitu!
Tutakutana tena hapa kufanya kilio cha pamoja.
Sibariki kifo cha demokrasia.
Sina cha kufanya kwa sasa ila ndio basi tena!
Kwaheri Tanzania ya Nyerere, kwaheri Tanzania ya heshima!
Karibu Tanzania ya Magufuli.
Tuseme kinatetea mabeberu!
Tuseme Lissu ni adui wa nchi!
Tuseme ni chama cha Mbowe!
Hayo mengine tulishasema!
Jiwe amepolarise system yote ya CCM!
Pale lumumba au Chamwino, kwa sasa hakuna wa kumwambia kitu!
Mkapa hayupo.
Mwinyi yuko kwenye mfuko.
Kikwete hajielewielewi, hajui hata leo ni lini.
Kuna nini tena?
Namkubali mzee, ni master wa siasa za kihuni.
Eenhee! CHADEMA haipo tena!
Hesabu zake zimeshakamilika.
Kundi la kina Mdee litapewa uongozi wa chama.
Watahamishiwa account ya chama.
The rest itakuwa kama story ya Maalim na Prof.
Chadema imefika mwisho.
Sisi wapenzi washabiki tunafaidikaje na hizi siasa za kihuni?
Maana tumetumika na tunatumika kuzihalalisha.
Sioni mwisho mwema, 2025 mzee haendi mahali na hakuna wa kumwambia kitu!
Tutakutana tena hapa kufanya kilio cha pamoja.
Sibariki kifo cha demokrasia.
Sina cha kufanya kwa sasa ila ndio basi tena!
Kwaheri Tanzania ya Nyerere, kwaheri Tanzania ya heshima!
Karibu Tanzania ya Magufuli.