sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
sasa hapo chadema mna usafi gani wa kusimamia dowans wakati mwenyekiti wenu mwenyewe katapeli fedha za wananchi huko nssf. Kagoma kulipa, ni fisadi pia. Chama kinachoongozwa na fisadi nacho ni cha kifisadi. Chadema haina tofauti na ccm kwani ufisadi ni ufisadi hakuna fisadi nyangumi, papa wala dagaa, wote mafisadi tu.
crap