CHADEMA Ijiuanganishe kwenye kesi ya kupinga tuzo ya Dowans

sasa hapo chadema mna usafi gani wa kusimamia dowans wakati mwenyekiti wenu mwenyewe katapeli fedha za wananchi huko nssf. Kagoma kulipa, ni fisadi pia. Chama kinachoongozwa na fisadi nacho ni cha kifisadi. Chadema haina tofauti na ccm kwani ufisadi ni ufisadi hakuna fisadi nyangumi, papa wala dagaa, wote mafisadi tu.

crap
 
hujui maana ya kujiunga kwenye kesi ambayo una maslahi nayo hata kama walioileta mwanzoni ni watu wengine?

Mzee Mwanakijiji, Elungata ni ugonjwa. Unaambukiza. Any attempt to help him will take you down and that will be a heart breaking moment for all of us.

For catholics, remember the story of St. Aloyce. Alifariki akisaidia wagonjwa wa ugonjwa wa panya!!
 
Waberoya

Kama ilivyo ainishwa juu hatuna chombo kinacho unganisha vyama vya siasa hapa nchni, vyama vikuu vya upinzani kwasasa ni CDM ikifuatiwa na CUF lakini CFU tayari imeunda serikali na CCM kwahiyo ni CCM kwa simple logic ya hesabu sasa wewe unataka chama gani tena, vile vingine vilikwisha tangaza adharani kuwa wao ni Kikwete na Kikwete ni CCM kumbuka wakati wa uchaguzi wale jamaa wa ajabu ajabu mimi hata majina siyakumbuki, walitangaza bila kuficha kuwa wao ni CCM "B" chama kingine ni NCCR hao nadhani hawajui kama kuna kitu kinaitwa Dowans labda kama wewe umewai kusikia wakiongea chocho juu ya Richmond na Dowans ebu tusaidie, ehee maana husilaumu bila mizania, labda chukua nafasi utupatie wewe kwa maoni yako unashauri chama gani pia kijiunge ili tusiongelee hewa taja chama ambacho unadhani pia kijiunge!!!

Mkulu

Kafulila mbunge wa NCCR kutoka mkoa wa Kigoma amekusudia/amewasilisha hoja binafsi kuhusiana na DOWANS ktk kikao cha Bunge kinacho tarajiwa kuanzaa wiki ijayo, je yeye ni CDM?

Tuepuka kupenda sana,kupenda kupita kiasi ni hatari kwa ustawi wa fikra zetu na michango yetu,ukipenda sana unakuwa mshabiki na sisi haturuhusiwi kuwa mashabiki.
 
Mkuu MM zidumu fikra zako! Nadhani ukimya huu CDM unapika mambo...kwa watu makini hawawezi kuacha jambo hili lipite kirahisi rahisi tu!
 
Coalition governments or grands governments education is very important it seems neither chadema nor you know what is real coalition governments its advantages and disadvantages.

Perhaps you could educate CDM and the general (JF) public the 'nitty grity' of coalition governments and how that information is relevant to the subject at hand?
 
Zipo karibu taasisi 20 ambazo zimejiunganisha katika kupinga tuzo ya Dowans. Sijaelewa kwanini Chadema isiwe mojawapo. Nadhani litakuwa jambo jema kisheria na kisiasa kwa Chadema kuwa sehemu ya wanaopinga tuzo hiyo na kutoa msaada wowote wa kisheria. CCM na Kamati yake Kuu waliamua kukaa nchini na kuwaacha Watanzania wengine kufanya hivyo. Naamini ni vizuri kwa Chadema kujiunganisha katika kesi hiyo.

Vinginevyo endapo taasisi hizo zitashinda Chadema kama chama cha siasa hakiwezi kudai kuwa kilipinga waziwazi. Ni lazima kioneshe it can talk the talk as well as walk the walk.

Siyo katika kesi hii tu bali pia katika kesi nyingine za Kikatiba na zile zinazohusu haki za wananchi na kiraia. Najua yawezekana wanaogopa kuona kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wanaingiza siasa katika 'suala la kisheria'. Huu ni mtizamo wa makosa, siasa na sheria zimeingiliana sana kiasi cha kutoweza kuwa na moja pasipo kugusa jingine. Siasa na Sheria zina uhusiano wa kutegemeana - symbiotic relationship.

Chadema hawana haja ya kujiunganisha katika hili, mahakama nzuri katika hili ni WANANCHI. Chadema walishauwasha moto na dawa yake ni kuuchochea uendelee hadi kieleweke. Kujiunga na utaratibu huu mwingine itakuwa kurudi nyuma, wote mnajua mizengwe ya mahakama zetu, kesi inaweza kuendelea hadi 2015 na wakati huo Dowans haitakuwa agenda tena.
 
Sasa hapo chadema mna usafi gani wa kusimamia DOWANS wakati mwenyekiti wenu mwenyewe katapeli fedha za wananchi huko NSSF. Kagoma kulipa, ni fisadi pia. Chama kinachoongozwa na fisadi nacho ni cha kifisadi. Chadema haina tofauti na CCM kwani ufisadi ni ufisadi hakuna fisadi nyangumi, papa wala dagaa, wote mafisadi tu.

Duu! Unanisikitisha sana! Unapokopa unaweka dhamana, na usipolipa dhamana yako inataifishwa/kuuza ili kulipa deni, sasa fisadi gani wa CCM ambaye mali zake ameziweka dhamana kwa ajili ya ufisadi wake aliofanya?????? Au huelewi mkopo ni nini? Unapotaka kukopa unaelewana na mkopeshaji, Ninyi mafisadi mmeelewana na NANI?????
 
I dont know if you know what u r talking about.kwa hiyo chadema wapeleke hoja mahakamani ama wapeleke wakili ama gani?

Duuh! Mtu akiwa na comfo huku hana substance,ni comedy nzuri sana kuiona....mi nacheka tuuu....
 
Sasa hapo chadema mna usafi gani wa kusimamia DOWANS wakati mwenyekiti wenu mwenyewe katapeli fedha za wananchi huko NSSF. Kagoma kulipa, ni fisadi pia. Chama kinachoongozwa na fisadi nacho ni cha kifisadi. Chadema haina tofauti na CCM kwani ufisadi ni ufisadi hakuna fisadi nyangumi, papa wala dagaa, wote mafisadi tu.
Mbona unanong'ona sasa? Ni wazi huamini unachokitamka na hata nikikuita urudie tena mbele za watu huwezi kurudia. Nenda ukremu upya and then come back when you have some senses in them brains...
 
Mbona unanong'ona sasa? Ni wazi huamini unachokitamka na hata nikikuita urudie tena mbele za watu huwezi kurudia. Nenda ukremu upya and then come back when you have some senses in them brains...

Msilete double standards, lolote linalopingwa na mtu asiye na mamlaka ya kimaadili kulikemea si rahisi kushinda. Mbowe naye fisadi.
 
Mbona unanong'ona sasa? Ni wazi huamini unachokitamka na hata nikikuita urudie tena mbele za watu huwezi kurudia. Nenda ukremu upya and then come back when you have some senses in them brains...

Thank you! Kuna watu huelewa in hard ways
 
Coalition governments or grands governments education is very important it seems neither chadema nor you know what is real coalition governments its advantages and disadvantages.

There are both general and specific conditions which necessitates and dictates coalition govt's lifespan . One lies with the aspect of simple majority (MPs). Another could be national security status, next could be (if any) common denominators of parties agendas toward national issues, then you may war and truce factors leading-up to elections and so forth.
Further, to my simple summation there are no significant practical differences between national unity govt's and coalition govt's. Rather it has more to do with technicalities as oppose to practicality.

By means of mere implication, do you think Tz need a coaltion gov't?
 
Back
Top Bottom