Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Gazeti gani? hayo magari nani aliyachakaza?Hivi yale magari chakavu (scrap) Mbowe anataka kuwauzia CDM kwa shs ngapi vile ? nikumbushe gazeti langu silioni hapa
Gazeti gani? hayo magari nani aliyachakaza?Hivi yale magari chakavu (scrap) Mbowe anataka kuwauzia CDM kwa shs ngapi vile ? nikumbushe gazeti langu silioni hapa
Bila ushabiki wowote wa kisiasa, ninawasihi na kuwashauri CHADEMA muwaache watu walime huu ni msimu wa kilimo.
Kama nyote mjuavyo, nchi yetu inategemea kilimo tena cha jembe la mkono. Hiki ni kipindi cha kilimo na mvua zinanyesha karibia nchi nzima hususani mikoa ya Nyanda za kati, Magharibi na Nyanda za Juu Kusini, hivyo wananchi wetu wako busy sana na kilimo ambacho ndiyo baba na mama yao. Nyanda za Magharibi na Juu Kusini, ghala la Taifa. Mnatupeleka wapi????
Je CHADEMA hamuoni kama munawaharibia wakulima ratiba yao ya kukimbizana na mvua zisizotegemewa? Wenzetu kila mwisho wa mwezi munakunja takribani TSh 12M+, watendeeni haki wakulima mnaojaribu kuwatetea. Tafadhari fanyeni maandamano na mikutano yenu kipindi cha kiangazi baada ya mavuno!
Bila ushabiki wowote wa kisiasa, ninawasihi na kuwashauri CHADEMA muwaache watu walime huu ni msimu wa kilimo.
Kama nyote mjuavyo, nchi yetu inategemea kilimo tena cha jembe la mkono. Hiki ni kipindi cha kilimo na mvua zinanyesha karibia nchi nzima hususani mikoa ya Nyanda za kati, Magharibi na Nyanda za Juu Kusini, hivyo wananchi wetu wako busy sana na kilimo ambacho ndiyo baba na mama yao. Nyanda za Magharibi na Juu Kusini, ghala la Taifa. Mnatupeleka wapi????
Je CHADEMA hamuoni kama munawaharibia wakulima ratiba yao ya kukimbizana na mvua zisizotegemewa? Wenzetu kila mwisho wa mwezi munakunja takribani TSh 12M+, watendeeni haki wakulima mnaojaribu kuwatetea. Tafadhari fanyeni maandamano na mikutano yenu kipindi cha kiangazi baada ya mavuno!
Bila ushabiki wowote wa kisiasa, ninawasihi na kuwashauri CHADEMA muwaache watu walime huu ni msimu wa kilimo.
Kama nyote mjuavyo, nchi yetu inategemea kilimo tena cha jembe la mkono. Hiki ni kipindi cha kilimo na mvua zinanyesha karibia nchi nzima hususani mikoa ya Nyanda za kati, Magharibi na Nyanda za Juu Kusini, hivyo wananchi wetu wako busy sana na kilimo ambacho ndiyo baba na mama yao. Nyanda za Magharibi na Juu Kusini, ghala la Taifa. Mnatupeleka wapi????
Je CHADEMA hamuoni kama munawaharibia wakulima ratiba yao ya kukimbizana na mvua zisizotegemewa? Wenzetu kila mwisho wa mwezi munakunja takribani TSh 12M+, watendeeni haki wakulima mnaojaribu kuwatetea. Tafadhari fanyeni maandamano na mikutano yenu kipindi cha kiangazi baada ya mavuno!