Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,819
Ligaidi lilifutika kibindoni hicho kitita.
mkuu unatumia pombe ya mnazi?
Ligaidi lilifutika kibindoni hicho kitita.
Kalipeni madeni ufisadi na ujambazi ndio mnaweza,sasa yale maviaetii mlikua mnanunua na makalioView attachment 1917139
Kwan hayo majibu ndio majibu ya chama?.Punguza kiwewe.nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwenye majibu yenu; kumbe hamna tofauti na CCM . Kwa hiyo bora tuendelee kubaki na CCM kuliko kuwajaribu nyinyi ambao kabla hata ya kushika nafasi mmeanza kuishi kana kwamba mna nafasi tayari. CCM OYEE.
Fedha hizi mzee Sabodo hakutoa kwa CHADEMA kwa lengo la kujenga ofisi bali ilikuwa kwajili ya kuchimba visima vya maji kwenye majimbo waliyokuwa wameshinda uchaguzi wa 2010.
Aisee. Kwamba ccm walipiga. Na cdm walipita mle mle.anza na hizo kwanza ukishajua zilipo ndiyo uje na izo za cdm
Hata situmii.mkuu unatumia pombe ya mnazi?
Hata situmii.
Hayo ni maelekezo ya MagufuliKalipeni madeni ufisadi na ujambazi ndio mnaweza,sasa yale maviaetii mlikua mnanunua na makalioView attachment 1917139
Hivi Mzee Sabodo yupo?? Maana simskii kabisa siku hiziFedha hizi mzee Sabodo hakutoa kwa CHADEMA kwa lengo la kujenga ofisi bali ilikuwa kwajili ya kuchimba visima vya maji kwenye majimbo waliyokuwa wameshinda uchaguzi wa 2010.
Fedha zilitolewa na kugawanywa kwenye majimbo ambayo walikuwa wameshinda uchaguzi.
YupoHivi Mzee Sabodo yupo?? Maana simskii kabisa siku hizi
Unajua chadema wana ofisi ngapi nchi hii?!!..unajua vitega uchumi vya chama?!!.. unajua watumishi wanalipwa Kwa fedha gani?!!..uliwahi kujiuliza mikutano inafanywa fedha zinatoka wapi?!!..uliwahi kuhoji kampeni zote nchi nzima fedha inatoka wapi?!!..kuna makongamano ulishawahi kuhoji fedha zinatoka wapi?!!..kuna kesi mahakamani uliwahi kuhoji fedha zinatoka wapi?!!..kuna mambo kadha wa kadha ya chama Ulishawahi kujua fedha zinatoka wapi?!!..unajua fedha hizo za Sabodo siyo za Kwanza wa siyo za mwisho kutoa kwaajili ya chama?!!
Litani ya wapi fedha zinatoka imekaa vizuri ila hajajibu swali -zile 100 M alizotoa Sabodo kama mchango wa ofisi ziko wapi?Unajua chadema wana ofisi ngapi nchi hii?!!..unajua vitega uchumi vya chama?!!.. unajua watumishi wanalipwa Kwa fedha gani?!!..uliwahi kujiuliza mikutano inafanywa fedha zinatoka wapi?!!..uliwahi kuhoji kampeni zote nchi nzima fedha inatoka wapi?!!..kuna makongamano ulishawahi kuhoji fedha zinatoka wapi?!!..kuna kesi mahakamani uliwahi kuhoji fedha zinatoka wapi?!!..kuna mambo kadha wa kadha ya chama Ulishawahi kujua fedha zinatoka wapi?!!..unajua fedha hizo za Sabodo siyo za Kwanza wa siyo za mwisho kutoa kwaajili ya chama?!!
Nimekujibu unajua Chadema wana ofisi ngapi?!!..au chama kinatakiwa kiwe na ofisi moja tu?!!..Litani ya wapi fedha zinatoka imekaa vizuri ila hajajibu swali -zile 100 M alizotoa Sabodo kama mchango wa ofisi ziko wapi?
Huyu Sabodo mbona ana changia vyama vingi hapa Tanzania na Nnje ya Nchi huyu alianza kuchangia vyama vya Siasa na kupata Uhuru nadhani hata history hujui!!..Litani ya wapi fedha zinatoka imekaa vizuri ila hajajibu swali -zile 100 M alizotoa Sabodo kama mchango wa ofisi ziko wapi?
Milioni 50 kwa kila kijiji....teh teh teh....
Hata tu kutuma uwakilishiHuyo kawajengea ofisi huko kitete,mmeshindwa kumzika kwa bendera za chama kada wenuView attachment 1917057
Muulize Dudumizi atakuambia,hats ukitaka mkeka wa jinsi ilivyotumika atakupa.
Wamekosa hata kuwa na shukrani kwa kada wao?Hata tu kutuma uwakilishi
Balaa tupuWamekosa hata kuwa na shukrani kwa kada wao?