Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,899
- 33,464
Kwahiyi ccm na chadema hamna tofauti?ulishawai kumuuliza magufuli alikopeleka trilioni 1.5
Kwahiyi ccm na chadema hamna tofauti?ulishawai kumuuliza magufuli alikopeleka trilioni 1.5
Kwahiyi ccm na chadema hamna tofauti?
Upumbavu vipi sasa?acha kufananisha chadema na upumbavu
Kwa hiyo siyo halali kuuliza matumizi ya fedha CHADEMA!!!Kwak kuwa kuna hilo la CCM limehalilisha kutokuuliza matumizi. ya fedha CHADEMA
Nyie wote mna matatizo ya Mbowephobia
Ofisi iko wapi?Michango ya 2010 ndio unaulizia leo? r u serious?
Kwa hiyo chadema wanapiga mana hata ccm wanapiga?anza kuuliza kwanza zilipo trilioni 1.5
Upumbavu vipi sasa?
Hebu twambieni hizo hela milioni 100zilifanya nini maana ofisi haikujengwa
Kwa hiyo chadema wanapiga mana hata ccm wanapiga?
Kwahiyo kwa vile meko alipiga na mbowe nae akaamua kujipigia?trilion 1.5 mlishajua meko alifanyia nini?
hmiyo chadema hamjengi ofisi mkitegemea baada ya kuingia Ikulu mrithi hizo ofisi za CCM?, pathetic!
Tuanze na chama chetu kwanza ambacho ndio mbadala wa ccmanza na hizo kwanza ukishajua zilipo ndiyo uje na izo za cdm
Ajabu
wamesahau kwamba CCM ilishawishi watu wasombe mawe ya kujengeaa ofisi; CHADEMA wanashawishi watu wabebe mawe hayo hayo wawapondee polisi.
CCM iliwashwishi wenye vituo vya mafuta wachangie ujezi wa ofisi; CHADEMA wanawapa watu hela wakalipue vito vya mafuta.
Wamesahau kwamba CCM iliwashawishi watu wanunue na kutumia bidhaa za wafanyabiashara ili waptate fedha zaidi; CHADEMA wanawashawishi watu wagomee kununua bidhaa za wafanyabiashara.
CCM iliwabeba wasanii; CHADEMA wanapambana na wasanii kama akina DIAMOND.
HOVYO KABISA.
Kalipeni madeni ufisadi na ujambazi ndio mnaweza,sasa yale maviaetii mlikua mnanunua na makaliounaona CCM inavyojenga ofisi zake- nyinyi ingekuwa mawe na maandamano kuelekea kupigana na polisi
View attachment 1917088
View attachment 1917094
Ofisi iko wapi?
Milioni 100 ingeweza kujenga jengo zuri sana kulko lile banda pale ufipa
report zote za mapato na matumizi ya vyama vya upinzani ziko kwa CAG. Kaulize huko utapewa kila kitu. acha kushoboka hapa ukidhani wana ccm wenzako watakusupportKwa hiyo siyo halali kuuliza matumizi ya fedha CHADEMA!!!Kwak kuwa kuna hilo la CCM limehalilisha kutokuuliza matumizi. ya fedha CHADEMA
Nyie wote mna matatizo ya Mbowephobia
wewe ndiye Kamanda asiyechoka ? Hakika leo umeumbuka vibaya sana !
Ofisi nchi nzima ziko wapi?Ofisi zinazojengwa Nchi nzima ni mchango wa sabodo? 1.5T aliyoikurupua CAG ipo wapi?