britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Habari za sikukuu
Si Mara moja , au mbili ni zaid ya Mara 10 nawasikiliza wanachama wa ccm katika ngazi mbali mbali, na wanachama wanchadema katika ngazi mbali mbali,
Licha ya tofauti ya Ukomavu wa kisisasa, nidhamu,demokrasia, Mipango na uelewa walio nao ccm ukilinganisha na CHADEMA, lakin nimegundua Tofauti nyingine kubwa
Wanachama wa CHADEMA hujiona wapweke waliotelekezwa na Taifa kwa muda needy sana, na wanakaa kulalamika sana, hata wafanyiwe na kutimiziwa wanachotaka,
Pia wanachadema masuala yanayowagusa zaid ni ya chama chao zaid ya masuala ya kitaifa, mifano ipo kibao sana, ndo maana akipigwa au kuumizwa mtanzania yeyote wanachukulia simple, lakin wakiumizwa wao utasikia kauli mbali mbali za kulaani kama kaumizwa malaika ,japo serikali haipaswi kuwaumiza
Hotuba zao , asilimia 70 ya hotuba za lowasa, mbowe na Dr slaa kipindi yuko chadema utasikia ndugu wana CHADEMA, ndugu makamanda yaan ni kama ana wa address wanachama tu wakati suala la analozungumzia ni la kitaifa,
Kwa upande wa Ccm ,msikilize Mangula, Kinana, Magufuli na wengine wanaongea kwa ku address Taifa hata kama jambo ni la kichama, hii ni tofauti kubwa ambayo tunapaswa kuirekebisha,
MUHIMU:CHADEMA Itaimarika kwa kuuchukua ushauri wa watu na taasisi mbali mbali, yakubalini mawazo yote, haijalishi mna mpenda mnamchukia,
Jipimeni punguza matusi ndo maana hata hapa chini watanishambulia kwa kusema kwamba wao ni kama special zaid ya watanzania wengine,
Brittany
Si Mara moja , au mbili ni zaid ya Mara 10 nawasikiliza wanachama wa ccm katika ngazi mbali mbali, na wanachama wanchadema katika ngazi mbali mbali,
Licha ya tofauti ya Ukomavu wa kisisasa, nidhamu,demokrasia, Mipango na uelewa walio nao ccm ukilinganisha na CHADEMA, lakin nimegundua Tofauti nyingine kubwa
Wanachama wa CHADEMA hujiona wapweke waliotelekezwa na Taifa kwa muda needy sana, na wanakaa kulalamika sana, hata wafanyiwe na kutimiziwa wanachotaka,
Pia wanachadema masuala yanayowagusa zaid ni ya chama chao zaid ya masuala ya kitaifa, mifano ipo kibao sana, ndo maana akipigwa au kuumizwa mtanzania yeyote wanachukulia simple, lakin wakiumizwa wao utasikia kauli mbali mbali za kulaani kama kaumizwa malaika ,japo serikali haipaswi kuwaumiza
Hotuba zao , asilimia 70 ya hotuba za lowasa, mbowe na Dr slaa kipindi yuko chadema utasikia ndugu wana CHADEMA, ndugu makamanda yaan ni kama ana wa address wanachama tu wakati suala la analozungumzia ni la kitaifa,
Kwa upande wa Ccm ,msikilize Mangula, Kinana, Magufuli na wengine wanaongea kwa ku address Taifa hata kama jambo ni la kichama, hii ni tofauti kubwa ambayo tunapaswa kuirekebisha,
MUHIMU:CHADEMA Itaimarika kwa kuuchukua ushauri wa watu na taasisi mbali mbali, yakubalini mawazo yote, haijalishi mna mpenda mnamchukia,
Jipimeni punguza matusi ndo maana hata hapa chini watanishambulia kwa kusema kwamba wao ni kama special zaid ya watanzania wengine,
Brittany