Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Labda alidhani kutakuwa na huruma kutoka kwa Mama. CCM walishazoea kunyonga. Old (bad) habits die hard...Zitto ni kijana mbinafsi sana, umimi utammaliza, kwanini asiungane na wapinzani wenzake wenye mwelekeo?