CHADEMA, Hizo fedha Mnazofanyia Starehe kwenye Mabaraza yenu kwanini msielekeze kwenye Maendeleo?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wakuu katika Taifa Masikini Kama hili Chadema wamenishangaza sana Kufanya Starehe katika Kumbi za Hotel Mbalimbali Kama St. Gaspar. Chadema wamekua Wakitumia Pesa za ruzuku Kuweka mikutano ya Gharama na Kulipana Posho.

Ni kweli najua hamna Ukumbi lakini Kwanini Msichukue hata Kumbi za Shule za Secondari hapo Dodoma?

Rais anajitahidi Kubana Matumizi hata Kikao cha Marais wa Afrika Mashariki Kimefanyikia Dar pia Vijana waliokua Monduli walitunikwa Nyota zao Dar.

Mwisho nawashauri Chadema hizo Pesa mnazopanda ni vema Mkaelekeza kwenye Kutatua Matatizo ya Wananchi katika Majimbo Mliyoshinda Uchaguzi Hali Ni Mbaya Huku Singida Mashariki Mbunge anashinda Kisutu.
 
Hii saccos ya Mbowe ilishapoteza mwelekeo,

Inahitajika degree fulani ya upunguani kuwaelewa wanachotetea, kwa sasa chadema inashikilia record ya chama kinachotetea mafisadi kwa nguvu zote barani Afrika!!

Ofisi ya chama ni chakavu yenye hadhi ya geto la barmed lakini viongozi wako bize kulipana posho kwenye mahoteli ya gharama kubwa kupita kiasi!!!!

Alafu bado bavichaaaa wanashangilia na kuzungusha mikono kweli kweli wakisubiri mabadiliko kutoka kwa viongozi wa hovyo namna hii
Tangu 1998 mpaka juzi mliposimamisha uchimbaji wa dhahabu mmekula trilioni ngapi nyie wapuuzi?
 
Wakuu katika Taifa Masikini Kama hili Chadema wamenishangaza sana Kufanya Starehe katika Kumbi za Hotel Mbalimbali Kama St. Gaspar. Chadema wamekua Wakitumia Pesa za ruzuku Kuweka mikutano ya Gharama na Kulipana Posho.

Ni kweli najua hamna Ukumbi lakini Kwanini Msichukue hata Kumbi za Shule za Secondari hapo Dodoma?

Rais anajitahidi Kubana Matumizi hata Kikao cha Marais wa Afrika Mashariki Kimefanyikia Dar pia Vijana waliokua Monduli walitunikwa Nyota zao Dar.

Mwisho nawashauri Chadema hizo Pesa mnazopanda ni vema Mkaelekeza kwenye Kutatua Matatizo ya Wananchi katika Majimbo Mliyoshinda Uchaguzi Hali Ni Mbaya Huku Singida Mashariki Mbunge anashinda Kisutu.
Pilipili usoila yakuwashia nini?
Nyie endeleeni kutafuta pesa kwenye mchanga wa dhahabu
 
Wakuu katika Taifa Masikini Kama hili Chadema wamenishangaza sana Kufanya Starehe katika Kumbi za Hotel Mbalimbali Kama St. Gaspar. Chadema wamekua Wakitumia Pesa za ruzuku Kuweka mikutano ya Gharama na Kulipana Posho.

Ni kweli najua hamna Ukumbi lakini Kwanini Msichukue hata Kumbi za Shule za Secondari hapo Dodoma?

Rais anajitahidi Kubana Matumizi hata Kikao cha Marais wa Afrika Mashariki Kimefanyikia Dar pia Vijana waliokua Monduli walitunikwa Nyota zao Dar.

Mwisho nawashauri Chadema hizo Pesa mnazopanda ni vema Mkaelekeza kwenye Kutatua Matatizo ya Wananchi katika Majimbo Mliyoshinda Uchaguzi Hali Ni Mbaya Huku Singida Mashariki Mbunge anashinda Kisutu.
Akinya bata.......
 
Wakuu katika Taifa Masikini Kama hili Chadema wamenishangaza sana Kufanya Starehe katika Kumbi za Hotel Mbalimbali Kama St. Gaspar. Chadema wamekua Wakitumia Pesa za ruzuku Kuweka mikutano ya Gharama na Kulipana Posho.

Ni kweli najua hamna Ukumbi lakini Kwanini Msichukue hata Kumbi za Shule za Secondari hapo Dodoma?

Rais anajitahidi Kubana Matumizi hata Kikao cha Marais wa Afrika Mashariki Kimefanyikia Dar pia Vijana waliokua Monduli walitunikwa Nyota zao Dar.

Mwisho nawashauri Chadema hizo Pesa mnazopanda ni vema Mkaelekeza kwenye Kutatua Matatizo ya Wananchi katika Majimbo Mliyoshinda Uchaguzi Hali Ni Mbaya Huku Singida Mashariki Mbunge anashinda Kisutu.

Nilitegemea uhoji kwanini mpaka muda huu Mkapa,Naibu waziri wa Nishati, Chenge,JK na wahusika wote wa madini hawako Keko.Unaenda kuhoji Kwanini CDM wanafanya mkutano wao St Gaspers. Duh ni bora kuwa mfu kuliko kuwa na akili kama zako
 
Wakuu katika Taifa Masikini Kama hili Chadema wamenishangaza sana Kufanya Starehe katika Kumbi za Hotel Mbalimbali Kama St. Gaspar. Chadema wamekua Wakitumia Pesa za ruzuku Majimbo Mliyoshinda Uchaguzi Hali Ni Mbaya Huku Singida Mashariki Mbunge anashinda Kisutu.
CCM mmesahau kuwa lile jini la mwenge linakula pesa zaidi ya kikao cha CHADEMA,halafu mnataka mle kama zile za rambi rambi
 
Wakuu katika Taifa Masikini Kama hili Chadema wamenishangaza sana Kufanya Starehe katika Kumbi za Hotel Mbalimbali Kama St. Gaspar. Chadema wamekua Wakitumia Pesa za ruzuku Kuweka mikutano ya Gharama na Kulipana Posho.

Ni kweli najua hamna Ukumbi lakini Kwanini Msichukue hata Kumbi za Shule za Secondari hapo Dodoma?

Rais anajitahidi Kubana Matumizi hata Kikao cha Marais wa Afrika Mashariki Kimefanyikia Dar pia Vijana waliokua Monduli walitunikwa Nyota zao Dar.

Mwisho nawashauri Chadema hizo Pesa mnazopanda ni vema Mkaelekeza kwenye Kutatua Matatizo ya Wananchi katika Majimbo Mliyoshinda Uchaguzi Hali Ni Mbaya Huku Singida Mashariki Mbunge anashinda Kisutu.

Wewe ni mpuuzi na wote wenye akili wameshakupuuza na hata hizo teuzi unazozikeshea hutapata kwani hata mteuzi amesha kudharau.
 
Kuna hoja hapo ila:
1.Matusi mengi
2.CCM iangaliwe inafanyia wapi?
3.Mtoa mada ungetoa mfano wa kumbi hapa Dodoma maana nyingi ni za Polisi na Jeshi
 
Back
Top Bottom