abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habari Wadau,
Nimekuja kuwauliza Chadema na vyama vingine vyote vya Upinzani, je ni kweli wanaitaka nchi!? Na je, ni kweli walikua wanataka kutukomboa, kama ni kweli basi kifo cha Hayati Magufuli inaweza ikawa Fimbo nzuri kwao ya kumuulia nyoka ikitumika akili tu.
Chadema na vyama vingine vya Upinzani Nadhan mmeona msiba wa Mpendwa wetu Magufuli Watanzania Walivyokua wanalia kwa uchungu. Niwaulize uchungu ule mnahisi hatuwezi kuwasaidia? Nasema hivyo kwasababu kama mtamtumia vizuri hata zile nguvu za umma mlizokua mnazitaka mtazipata kwa Asilimia Mia.
Ila naona kama vile hamko tayari sababu Badala ya kumuandaa kama njia ila mnashirikiana na Watu wasiompenda kama nyinyi kumchafua. Mkumbuke mkimchafua akachafuka hamtoweza kumtumia tena na huenda waliopo mkashindwa kuwatoa sababu mmeshamchafua wa mwanzo na kusema kuwa wa pili ni mzuri ambaye mtashindana naye tena na kwenye ushindani atasema Mimi ni mzur hata Chadema walisema.
Mimi Binafsi niko tayari kuwaunga mkono ili kiwe kama kisasi kwao wazee wa Bandari ya Bagamoyo na yule wa hiii serikal ni Awam ya Sita kiukweli nimeichukia CCM kwa sababu ya Magufuli na sababu izo Zipo negative na positive.
Kwa sababu kama Magufuli alikua Mbaya kwanini wasiseme kipindI hajafa? Kua alikua anatudanganya Watanzania
Pili Magufuli kama hakua mchafu kama ninavyoamini kwanini wamchafue kwa Maslahi yao
Pia Kuna Mawil kwa Chadema huenda moja likatokea
1) Huenda Chadema wakapewa wanachotaka wakaamua kuwatelekeza wtz na Matatizo yao na kubaki kupiga kelele tu
2) Wakaamua kupambana kuchukua nchi
Ivyo ngoja tuone, wakati utaamua
Nimekuja kuwauliza Chadema na vyama vingine vyote vya Upinzani, je ni kweli wanaitaka nchi!? Na je, ni kweli walikua wanataka kutukomboa, kama ni kweli basi kifo cha Hayati Magufuli inaweza ikawa Fimbo nzuri kwao ya kumuulia nyoka ikitumika akili tu.
Chadema na vyama vingine vya Upinzani Nadhan mmeona msiba wa Mpendwa wetu Magufuli Watanzania Walivyokua wanalia kwa uchungu. Niwaulize uchungu ule mnahisi hatuwezi kuwasaidia? Nasema hivyo kwasababu kama mtamtumia vizuri hata zile nguvu za umma mlizokua mnazitaka mtazipata kwa Asilimia Mia.
Ila naona kama vile hamko tayari sababu Badala ya kumuandaa kama njia ila mnashirikiana na Watu wasiompenda kama nyinyi kumchafua. Mkumbuke mkimchafua akachafuka hamtoweza kumtumia tena na huenda waliopo mkashindwa kuwatoa sababu mmeshamchafua wa mwanzo na kusema kuwa wa pili ni mzuri ambaye mtashindana naye tena na kwenye ushindani atasema Mimi ni mzur hata Chadema walisema.
Mimi Binafsi niko tayari kuwaunga mkono ili kiwe kama kisasi kwao wazee wa Bandari ya Bagamoyo na yule wa hiii serikal ni Awam ya Sita kiukweli nimeichukia CCM kwa sababu ya Magufuli na sababu izo Zipo negative na positive.
Kwa sababu kama Magufuli alikua Mbaya kwanini wasiseme kipindI hajafa? Kua alikua anatudanganya Watanzania
Pili Magufuli kama hakua mchafu kama ninavyoamini kwanini wamchafue kwa Maslahi yao
Pia Kuna Mawil kwa Chadema huenda moja likatokea
1) Huenda Chadema wakapewa wanachotaka wakaamua kuwatelekeza wtz na Matatizo yao na kubaki kupiga kelele tu
2) Wakaamua kupambana kuchukua nchi
Ivyo ngoja tuone, wakati utaamua