CHADEMA, hili la kuboresha ofisi linahitaji mikutano iruhusiwe? matawi yamekufa baada ya uchaguzi

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Naam, nilipotea hapa jukwaani ili kuweza kutekeleza majukumu yangu kulitumikia taifa ambapo nililazimika kusafiri mikoa kadhaa ikiwamo Arusha,Kilimanjaro,Manyara,Dodoma, Singida, Tabora,Kigoma, Mwanza,Shinyanga, Mara, Geita na Simiyu. Katika tathmini yangu ya awali ni kwamba pasi na shaka yoyote vyama vya upinzani vikiongozwa na Chadema havina uwakilislishi wala uhai wa wanachama wenyeji wa mikoa hivyo. Ofisi zimefungwa tokea baada ya kumalizika uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Wakati ninajiandaa kutoa tathmini kamili, nilikuwa nina swali moja tu; je hili la kuboresha ofisi na uwezo wa kitaasisi linahitaji kibali cha serikali? Nimejiuliza hivyo sababu kama Chadema haifanyi mikutano ni dhahiri matumizi ya ruzuku yangeelekezwa huku kwenye mashina.

Kuna wana Chadema wowote wanaofikiria kuhusu hili jambo? nini matumizi ya ruzuku?

Tujenge hoja kwa upendo.
 
Twende mbele turudi nyuma mbowe na genge lake, siyo chadema wote hajawahi kuwa na ndoto za kuishika dola zaidi ya kugeuza upinzani kama chaka ka kunyoshea mambo zake hasa za kibiashara.

Pili uwezo wake kiungozi ni mdogo kuliko ukubwa wa chama anachokiongoza hapa awali dr. Slaa alikuwa ni zaidi ya katibu.

Tatu mbowe kuwakalia juu watu km akina prof. Baregu, Safari na wabunge wengine makini km Lissu, Mynyika, Mdee na wengine wengi hawa jamaa wanaakili nyingi walishaona hakuna wanachopata au hawaoni ndoto za kushika nchi badala yake wamejiweka pembeni na wengine wanajijenga binafsi zaidi ya kujenga chama.

Chadema inahitaji vichwa mjarabu vyenye akili na uwezo mkubwa kuistracture ili iweze kufiti kwenye mfumo wa siasa za ssm zinazobadirika kwa miaka 2 sasa. Hawana agenda na hawako strategically tena, muda huu ni kufanya siasa za kimkakati zaidi ya siasa za kususa na matamko.

Mbowe must stepdown in order CHADEMA to move on. Bad thing ni kuwa hata uwezo wa kuandaa warithi wake hana, ila binafsi sishangai maana kwa mtu asiye na vision ya kitu awezi pata maono na akili ya kujua mstakabali wa chama pale atakapo kuwa hayupo.

Kiroho safi, sitaki kumkera mtu ni uchambuzi wangu usitake kujua mimi wa chama gani naweza SSM au CHDM au none of them yote yawezekana.
 
Wakudadavuwa: Tangu lini umekuwa na hamu ya kuona Chadema inaendelea? Kwa hiyo wewe kwenye hiyo ziara kazi ilikuwa kuangalia maendeleo ya Chadema na ofisi zake? Kwani hujui kuwa hiyo hali ndio furaha ya bosi wako? Unaenda kinyume na matakwa ya bosi wako?
 
NYIE WANACHAMA VIAZI KWELI YAANI VIONGOZI WETU WA CHADEMA WAACHE KUJAZA FIKRA ZA UKOMBOZI ETI TUJENGE OFISI.KAMA HURIDHIKI NENDA CCM MBONA MADIWABI WAMEONDOKA NA TUKO VIZURI TU.

Naam, nilipotea hapa jukwaani ili kuweza kutekeleza majukumu yangu kulitumikia taifa ambapo nililazimika kusafiri mikoa kadhaa ikiwamo Arusha,Kilimanjaro,Manyara,Dodoma, Singida, Tabora,Kigoma, Mwanza,Shinyanga, Mara, Geita na Simiyu. Katika tathmini yangu ya awali ni kwamba pasi na shaka yoyote vyama vya upinzani vikiongozwa na Chadema havina uwakilislishi wala uhai wa wanachama wenyeji wa mikoa hivyo. Ofisi zimefungwa tokea baada ya kumalizika uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Wakati ninajiandaa kutoa tathmini kamili, nilikuwa nina swali moja tu; je hili la kuboresha ofisi na uwezo wa kitaasisi linahitaji kibali cha serikali? Nimejiuliza hivyo sababu kama Chadema haifanyi mikutano ni dhahiri matumizi ya ruzuku yangeelekezwa huku kwenye mashina.

Kuna wana Chadema wowote wanaofikiria kuhusu hili jambo? nini matumizi ya ruzuku?

Tujenge hoja kwa upendo.
 
Naam, nilipotea hapa jukwaani ili kuweza kutekeleza majukumu yangu kulitumikia taifa ambapo nililazimika kusafiri mikoa kadhaa ikiwamo Arusha,Kilimanjaro,Manyara,Dodoma, Singida, Tabora,Kigoma, Mwanza,Shinyanga, Mara, Geita na Simiyu. Katika tathmini yangu ya awali ni kwamba pasi na shaka yoyote vyama vya upinzani vikiongozwa na Chadema havina uwakilislishi wala uhai wa wanachama wenyeji wa mikoa hivyo. Ofisi zimefungwa tokea baada ya kumalizika uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Wakati ninajiandaa kutoa tathmini kamili, nilikuwa nina swali moja tu; je hili la kuboresha ofisi na uwezo wa kitaasisi linahitaji kibali cha serikali? Nimejiuliza hivyo sababu kama Chadema haifanyi mikutano ni dhahiri matumizi ya ruzuku yangeelekezwa huku kwenye mashina.

Kuna wana Chadema wowote wanaofikiria kuhusu hili jambo? nini matumizi ya ruzuku?

Tujenge hoja kwa upendo.


Sijui kama matumizi ya ruzuku ni kujengea ofisi. Kama ndivyo ningaliweza kushauri CCM wasipewe maana wanazo ofisi tele kila mahali. Hapa kwetu vijana wa CHADEMA walinunua jengo lililokuwa likitumika awali kama ofisi ya CCM na kuikarabati na kuifanya ofisi ya chama chao. Nashangaa unaposema na huku umefika katika tafiti zako, ina maana hili hujaliona mkuu!?!?!
 
tumewaachia ccm ya magufuli kasema siasa had 2020 we ulienda kufanya nini wakat siasa anatakiwa kuifanya rais peke yake
 
Twende mbele turudi nyuma mbowe na genge lake, siyo chadema wote hajawahi kuwa na ndoto za kuishika dola zaidi ya kugeuza upinzani kama chaka ka kunyoshea mambo zake hasa za kibiashara.

Pili uwezo wake kiungozi ni mdogo kuliko ukubwa wa chama anachokiongoza hapa awali dr. Slaa alikuwa ni zaidi ya katibu.

Tatu mbowe kuwakalia juu watu km akina prof. Baregu, Safari na wabunge wengine makini km Lissu, Mynyika, Mdee na wengine wengi hawa jamaa wanaakili nyingi walishaona hakuna wanachopata au hawaoni ndoto za kushika nchi badala yake wamejiweka pembeni na wengine wanajijenga binafsi zaidi ya kujenga chama.

Chadema inahitaji vichwa mjarabu vyenye akili na uwezo mkubwa kuistracture ili iweze kufiti kwenye mfumo wa siasa za ssm zinazobadirika kwa miaka 2 sasa. Hawana agenda na hawako strategically tena, muda huu ni kufanya siasa za kimkakati zaidi ya siasa za kususa na matamko.

Mbowe must stepdown in order CHADEMA to move on. Bad thing ni kuwa hata uwezo wa kuandaa warithi wake hana, ila binafsi sishangai maana kwa mtu asiye na vision ya kitu awezi pata maono na akili ya kujua mstakabali wa chama pale atakapo kuwa hayupo.

Kiroho safi, sitaki kumkera mtu ni uchambuzi wangu usitake kujua mimi wa chama gani naweza SSM au CHDM au none of them yote yawezekana.


Duu kama kuna ukweli vilee!!
 
NYIE WANACHAMA VIAZI KWELI YAANI VIONGOZI WETU WA CHADEMA WAACHE KUJAZA FIKRA ZA UKOMBOZI ETI TUJENGE OFISI.KAMA HURIDHIKI NENDA CCM MBONA MADIWABI WAMEONDOKA NA TUKO VIZURI TU.
jifunze kutumia herufi kubwa na ndogo.
 
Kama haifanyi mikutano ruzuku mbowe anafanyia investments. Hilo ni jeshi la mtu mmoja wengine nyumbu tu
 
Sijui kama matumizi ya ruzuku ni kujengea ofisi. Kama ndivyo ningaliweza kushauri CCM wasipewe maana wanazo ofisi tele kila mahali. Hapa kwetu vijana wa CHADEMA walinunua jengo lililokuwa likitumika awali kama ofisi ya CCM na kuikarabati na kuifanya ofisi ya chama chao. Nashangaa unaposema na huku umefika katika tafiti zako, ina maana hili hujaliona mkuu!?!?!
Mnajua tukienda na huu msemo kuwa nyani halioni kundule hatutafika..! Potelea mbali mapungufu ya ssm, ni kipi chadema wamefanya cha maana zaidi ya siasa za kulalamika, nakili kuwa kukosoa ni wajibu wao je, pesa za ruzuku wamezifanyia nini maana kazi yake ni kujenga chama ikiwa ni pamoja na kuhakikisha chama kina vitendea kazi yaani facilities! In 20yrs hawana ata ofisi ya maana ni maajabu sana.

Kwa trend ya siasa zinavyokwenda kubadirika siyo mpk uambiwe walitakiwa wapime maji kwa mti kisha waone namna ya kuvuka. Ninacho walaumu chadema licha ya kukandamizwa kama wanavyodai iweje waishiwe mbinu na kubaki kimya tatixo ni viongozi wao ubunifu wao umefikia ukomo.
 
Mnajua tukienda na huu msemo kuwa nyani halioni kundule hatutafika..! Potelea mbali mapungufu ya ssm, ni kipi chadema wamefanya cha maana zaidi ya siasa za kulalamika, nakili kuwa kukosoa ni wajibu wao je, pesa za ruzuku wamezifanyia nini maana kazi yake ni kujenga chama ikiwa ni pamoja na kuhakikisha chama kina vitendea kazi yaani facilities! In 20yrs hawana ata ofisi ya maana ni maajabu sana.

Kwa trend ya siasa zinavyokwenda kubadirika siyo mpk uambiwe walitakiwa wapime maji kwa mti kisha waone namna ya kuvuka. Ninacho walaumu chadema licha ya kukandamizwa kama wanavyodai iweje waishiwe mbinu na kubaki kimya tatixo ni viongozi wao ubunifu wao umefikia ukomo.
kuntu.
 
Back
Top Bottom