Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Mtani wangu, mwenyewe ndiyo nilikuwa naanza kupasha moto mwili, teteteee....
Dahh, nyie watu hasa wewe na Chris Lukosi , nafikiri ni Chadema kwa ndani ila basi tu.
Ningelikuwa CCM, ningelitangaza muondolewe mapema sana kwani nikiwasoma sawasawa..... mmekaa Kifipa.
Ila nakiri kuwa, mnasaidia mijadala mingi ijadiliwe sana. Vinginevyo ingelikuwa kama miezi kadhaa nyuma watu wakaanza kuona JF inakufa vile. Mmetengeneza balance nzuri kati ya CCM na Chadema. Endeleeni kuwa wapinzani wa Chadema na kuifunda kuwa na yenyewe siku ikitawala, wapinzani watawakaanga kwelikweli. PAMOJA SANA Watani wangu.
Dahh, nyie watu hasa wewe na Chris Lukosi , nafikiri ni Chadema kwa ndani ila basi tu.
Ningelikuwa CCM, ningelitangaza muondolewe mapema sana kwani nikiwasoma sawasawa..... mmekaa Kifipa.
Ila nakiri kuwa, mnasaidia mijadala mingi ijadiliwe sana. Vinginevyo ingelikuwa kama miezi kadhaa nyuma watu wakaanza kuona JF inakufa vile. Mmetengeneza balance nzuri kati ya CCM na Chadema. Endeleeni kuwa wapinzani wa Chadema na kuifunda kuwa na yenyewe siku ikitawala, wapinzani watawakaanga kwelikweli. PAMOJA SANA Watani wangu.
Hahahahahahaahahaa
Sikonge mbona unatumia bomu kuua mbu?
Hahahahahahahhahahaha
Basi yaishe...
Last edited by a moderator: