CHADEMA hii si ile iliyokuwa enzi za Dkt. Wilbroad Slaa

Sasa ndugu yang sisimizi.. kama ndivyo hivyo kulikua na ugumu gan kufanya analysis ya matumiz kama haya unayodai mpaka ikapelekea Mzee wa watu kutumbuliwa kisa kuhoji matumiz yake?
Yeye mwenyekiti Mbowe alipohojiwa na marehemu Chacha Wangwe kuhusu matumizi ya ruzuku alichofanya ni kumpa Deus Mallya kazi ya kumuondolea mbali.
Halafu mnasema Mbowe sio gaidi?
 
Kwani CCM hii ndio ile ya Mwl JK Nyerere?hoja ambazo huanzia kuwaza kwa kutumia makalio ndio hizi
 
Watanzania sote ni mashahidi kwamba CHADEMA hii si ile iliyokuwa enzi za Dk wilbroad Slaa.
Chadema iliyokuwa ikibeba sera na hoja za kuupinga ufisadi uliokuwa ukifamywa na genge la wanamtamdao ndani ya CCM.

Sera na hoja zilizopelekea kutangazwa kwa list of shame pale kwenye viwanja vya mwembeyanga tarehe 4 ya mwezi Septemba 2007.

Mambo na hoja zile zilipelekea chadema kujizolea umaarufu nchini na hivyo kujipatia wafuasi wengi.
Na watu wengi walikuwa na imani kwa kutokana na aina ya viongozi wale kama kina Dk Kaborou,Dk Slaa,Proffesa Baregu,Proffesa Safari na kina Mabere marando kwa namna walivyokuwa wakiwakilisha hoja zao kwa uzalendo wa hali ya juu.

Wale na safu yao ikakipaisha chama huku kikiwa na vijana ambao tulitumaini watarithi siasa za watangulizi wao.

Mengi yametokea tangia hapo, baadae tulianza kuona chimbuko jipya la wanasiasa kizazi cha kina Zitto,Halima mzee,Tundu lissu ,John mnyika na Godbless lema nk.

Hawa nao waliendeleza kile walichokikuta,lakini wakiwa wamekaa kimaslahi binafsi na makundi kadhaa ya viongozi waandamizi ndani ya chama chao.

Makundi hayo yakaenda mbali zaidi kwa kufikia hatua ya wale waliokuwa nyuma ya mwenyekiti Mbowe wakijiona juu zaidi na kufikia hatua ya kuwakejeli wenzao hadharani.

Hata pale ambapo chadema ilipata viongozi wa wimbi la Lowassa kujiunga nacho.wale kundi Mwenyekiti waliendeleza dharau kwa viongozi waandamizi waliokuwa na maoni tofauti na mwenyekiti Mbowe.

Hatimae tulishuhudia kwanza kabisa chadema ile ya mwenyekiti Mbowe ikiwatimua kina Kitila Mkumbo,Samson Mwigamba na Zitto kabwe kwa makosa ya usaliti.kwamba walihoji raslimali za chama kutotumika kitaasisi zaidi ili kukiimarisha chama kitaifa,ikiwemo pia mgawanyo wa madaraka kitaifa zaidi na badala yake ikilenga zaidi wanachama wenye asili ya kaskazini.

Baadae tulishuhudia Muasisi na kiomgozi mwandamizi Dk Wilbroad Slaa, akilazimika kujiondoa chamani na kumpisha chaguo la mwenyekiti Mbowe kwenye ugombea urais wa mwaka 2015,Mzee Edward Lowassa aliekuwa ametimka kutoka CCM.

Tangia hapo ni kama chama kimekosa washauri wazuri kwa mwenyekiti na kinachoendelea sasa imekuwa ni chama cha matamko na uhamasishaji wa matukio kwa umma,ingawa umma huo umekuwa haukiungi mkono kwa kutokuwa tayari kuwaunga mkono kuanzia operesheni Sangara,operesheni Ukuta,Movement for change nk.

Sasa chadema imeparanyika mara wengine wanaitana covid19.
Wengine wamepiga kambi ughaibuni kazi yao ikiwa kuiombea mabaya Tanzania , na raia wake kwa wafadhiili na jumuia za kimataifa.
Ingawa nao wamegonga mwamba baada ya taasisi hizo kuamua kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano na Tanzania

Sasa mwenyekiti Mbowe ana kesi inayomkabili ya ugaidi inayoendelea huko mahakamani.

Cha kushangaza chadema inayoomba mabadiliko ya katiba mpya, wamegeuka wanasheria bila ya kuheshimu hata katiba hii iliyopo sasa.ambayo inatamka kuheshimu kutokujadili mjadala au kesi yoyote iliyoko mahakamani.

Kila mwana chadema amegeuka kuwa mwanasheria,viongozi waliopo kazi yao imegeuka kujadili watu badala ya hoja na sera.
Viongozi waandamizi wamegeuka watoa kashfa kwa viongozi waandamizi wa serikali huku wakiwaombea vifo.kisa uongozi na ulafi wa kuingia ikulu na hasira za kuwa nje ya Bunge.

Chadema imefikia mahali wanasherehekea vifo vya viongozi kwa kuitana kunywa bia na kuchoma nyama kwenye mabaa.Huku wakipongezana mitandaoni.

Je kwa hali hiyo mnatarajia CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (cha de ma).

Itaungwa mkono na kina nani kwa ujinga huu?
Lazima waungaji na wafuasi wenu wawe wameyumba madish!

Ni kama vile laana ya Dk Slaa inawatafuna taratiibu.

Lema ni nabii, mpaka siku ya kufa mkewe anajua

Lissu ni mbishi, mjuaji, sio mwanasiasa ba ana personal vendetta na kila mtu, hafai kwenye siasa za ushawishi

Mbowe ndio pekee alikuwa tumaini, ila akamezwa na ujinga wa kumchukia JPM na kufurahia kifo chake, badala ya kudaka sera za JPM na kuumiza CCM, kaangukia pua

Chadema wanajua kila kitu, wana watu wao wa kuwapa ushauri, neno msaliti ni kawaida kwao
 
Watanzania sote ni mashahidi kwamba CHADEMA hii si ile iliyokuwa enzi za Dk wilbroad Slaa.
Chadema iliyokuwa ikibeba sera na hoja za kuupinga ufisadi uliokuwa ukifamywa na genge la wanamtamdao ndani ya CCM.

Sera na hoja zilizopelekea kutangazwa kwa list of shame pale kwenye viwanja vya mwembeyanga tarehe 4 ya mwezi Septemba 2007.

Mambo na hoja zile zilipelekea chadema kujizolea umaarufu nchini na hivyo kujipatia wafuasi wengi.
Na watu wengi walikuwa na imani kwa kutokana na aina ya viongozi wale kama kina Dk Kaborou,Dk Slaa,Proffesa Baregu,Proffesa Safari na kina Mabere marando kwa namna walivyokuwa wakiwakilisha hoja zao kwa uzalendo wa hali ya juu.

Wale na safu yao ikakipaisha chama huku kikiwa na vijana ambao tulitumaini watarithi siasa za watangulizi wao.

Mengi yametokea tangia hapo, baadae tulianza kuona chimbuko jipya la wanasiasa kizazi cha kina Zitto,Halima mzee,Tundu lissu ,John mnyika na Godbless lema nk.

Hawa nao waliendeleza kile walichokikuta,lakini wakiwa wamekaa kimaslahi binafsi na makundi kadhaa ya viongozi waandamizi ndani ya chama chao.

Makundi hayo yakaenda mbali zaidi kwa kufikia hatua ya wale waliokuwa nyuma ya mwenyekiti Mbowe wakijiona juu zaidi na kufikia hatua ya kuwakejeli wenzao hadharani.

Hata pale ambapo chadema ilipata viongozi wa wimbi la Lowassa kujiunga nacho.wale kundi Mwenyekiti waliendeleza dharau kwa viongozi waandamizi waliokuwa na maoni tofauti na mwenyekiti Mbowe.

Hatimae tulishuhudia kwanza kabisa chadema ile ya mwenyekiti Mbowe ikiwatimua kina Kitila Mkumbo,Samson Mwigamba na Zitto kabwe kwa makosa ya usaliti.kwamba walihoji raslimali za chama kutotumika kitaasisi zaidi ili kukiimarisha chama kitaifa,ikiwemo pia mgawanyo wa madaraka kitaifa zaidi na badala yake ikilenga zaidi wanachama wenye asili ya kaskazini.

Baadae tulishuhudia Muasisi na kiomgozi mwandamizi Dk Wilbroad Slaa, akilazimika kujiondoa chamani na kumpisha chaguo la mwenyekiti Mbowe kwenye ugombea urais wa mwaka 2015,Mzee Edward Lowassa aliekuwa ametimka kutoka CCM.

Tangia hapo ni kama chama kimekosa washauri wazuri kwa mwenyekiti na kinachoendelea sasa imekuwa ni chama cha matamko na uhamasishaji wa matukio kwa umma,ingawa umma huo umekuwa haukiungi mkono kwa kutokuwa tayari kuwaunga mkono kuanzia operesheni Sangara,operesheni Ukuta,Movement for change nk.

Sasa chadema imeparanyika mara wengine wanaitana covid19.
Wengine wamepiga kambi ughaibuni kazi yao ikiwa kuiombea mabaya Tanzania , na raia wake kwa wafadhiili na jumuia za kimataifa.
Ingawa nao wamegonga mwamba baada ya taasisi hizo kuamua kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano na Tanzania

Sasa mwenyekiti Mbowe ana kesi inayomkabili ya ugaidi inayoendelea huko mahakamani.

Cha kushangaza chadema inayoomba mabadiliko ya katiba mpya, wamegeuka wanasheria bila ya kuheshimu hata katiba hii iliyopo sasa.ambayo inatamka kuheshimu kutokujadili mjadala au kesi yoyote iliyoko mahakamani.

Kila mwana chadema amegeuka kuwa mwanasheria,viongozi waliopo kazi yao imegeuka kujadili watu badala ya hoja na sera.
Viongozi waandamizi wamegeuka watoa kashfa kwa viongozi waandamizi wa serikali huku wakiwaombea vifo.kisa uongozi na ulafi wa kuingia ikulu na hasira za kuwa nje ya Bunge.

Chadema imefikia mahali wanasherehekea vifo vya viongozi kwa kuitana kunywa bia na kuchoma nyama kwenye mabaa.Huku wakipongezana mitandaoni.

Je kwa hali hiyo mnatarajia CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (cha de ma).

Itaungwa mkono na kina nani kwa ujinga huu?
Lazima waungaji na wafuasi wenu wawe wameyumba madish!

Ni kama vile laana ya Dk Slaa inawatafuna taratiibu.
MTU akikimbilia CCM toka CHAFEMA husifiwa sana.Shida in kuwa ukiwa CCM unaondolewa ubongo wanaweka tope.Huna hoja.Ngeke kasoro maki
...
 
Yeye mwenyekiti Mbowe alipohojiwa na marehemu Chacha Wangwe kuhusu matumizi ya ruzuku alichofanya ni kumpa Deus Mallya kazi ya kumuondolea mbali.
Halafu mnasema Mbowe sio gaidi?
Out of point 🚮🚮🚮🚮, jibu hoja iliyopo then anzisha thread ulete hoja yako hapa tuifanyie kaz.
 
Watanzania sote ni mashahidi kwamba CHADEMA hii si ile iliyokuwa enzi za Dk wilbroad Slaa.
Chadema iliyokuwa ikibeba sera na hoja za kuupinga ufisadi uliokuwa ukifamywa na genge la wanamtamdao ndani ya CCM.

Sera na hoja zilizopelekea kutangazwa kwa list of shame pale kwenye viwanja vya mwembeyanga tarehe 4 ya mwezi Septemba 2007.

Mambo na hoja zile zilipelekea chadema kujizolea umaarufu nchini na hivyo kujipatia wafuasi wengi.
Na watu wengi walikuwa na imani kwa kutokana na aina ya viongozi wale kama kina Dk Kaborou,Dk Slaa,Proffesa Baregu,Proffesa Safari na kina Mabere marando kwa namna walivyokuwa wakiwakilisha hoja zao kwa uzalendo wa hali ya juu.

Wale na safu yao ikakipaisha chama huku kikiwa na vijana ambao tulitumaini watarithi siasa za watangulizi wao.

Mengi yametokea tangia hapo, baadae tulianza kuona chimbuko jipya la wanasiasa kizazi cha kina Zitto,Halima mzee,Tundu lissu ,John mnyika na Godbless lema nk.

Hawa nao waliendeleza kile walichokikuta,lakini wakiwa wamekaa kimaslahi binafsi na makundi kadhaa ya viongozi waandamizi ndani ya chama chao.

Makundi hayo yakaenda mbali zaidi kwa kufikia hatua ya wale waliokuwa nyuma ya mwenyekiti Mbowe wakijiona juu zaidi na kufikia hatua ya kuwakejeli wenzao hadharani.

Hata pale ambapo chadema ilipata viongozi wa wimbi la Lowassa kujiunga nacho.wale kundi Mwenyekiti waliendeleza dharau kwa viongozi waandamizi waliokuwa na maoni tofauti na mwenyekiti Mbowe.

Hatimae tulishuhudia kwanza kabisa chadema ile ya mwenyekiti Mbowe ikiwatimua kina Kitila Mkumbo,Samson Mwigamba na Zitto kabwe kwa makosa ya usaliti.kwamba walihoji raslimali za chama kutotumika kitaasisi zaidi ili kukiimarisha chama kitaifa,ikiwemo pia mgawanyo wa madaraka kitaifa zaidi na badala yake ikilenga zaidi wanachama wenye asili ya kaskazini.

Baadae tulishuhudia Muasisi na kiomgozi mwandamizi Dk Wilbroad Slaa, akilazimika kujiondoa chamani na kumpisha chaguo la mwenyekiti Mbowe kwenye ugombea urais wa mwaka 2015,Mzee Edward Lowassa aliekuwa ametimka kutoka CCM.

Tangia hapo ni kama chama kimekosa washauri wazuri kwa mwenyekiti na kinachoendelea sasa imekuwa ni chama cha matamko na uhamasishaji wa matukio kwa umma,ingawa umma huo umekuwa haukiungi mkono kwa kutokuwa tayari kuwaunga mkono kuanzia operesheni Sangara,operesheni Ukuta,Movement for change nk.

Sasa chadema imeparanyika mara wengine wanaitana covid19.
Wengine wamepiga kambi ughaibuni kazi yao ikiwa kuiombea mabaya Tanzania , na raia wake kwa wafadhiili na jumuia za kimataifa.
Ingawa nao wamegonga mwamba baada ya taasisi hizo kuamua kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano na Tanzania

Sasa mwenyekiti Mbowe ana kesi inayomkabili ya ugaidi inayoendelea huko mahakamani.

Cha kushangaza chadema inayoomba mabadiliko ya katiba mpya, wamegeuka wanasheria bila ya kuheshimu hata katiba hii iliyopo sasa.ambayo inatamka kuheshimu kutokujadili mjadala au kesi yoyote iliyoko mahakamani.

Kila mwana chadema amegeuka kuwa mwanasheria,viongozi waliopo kazi yao imegeuka kujadili watu badala ya hoja na sera.
Viongozi waandamizi wamegeuka watoa kashfa kwa viongozi waandamizi wa serikali huku wakiwaombea vifo.kisa uongozi na ulafi wa kuingia ikulu na hasira za kuwa nje ya Bunge.

Chadema imefikia mahali wanasherehekea vifo vya viongozi kwa kuitana kunywa bia na kuchoma nyama kwenye mabaa.Huku wakipongezana mitandaoni.

Je kwa hali hiyo mnatarajia CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (cha de ma).

Itaungwa mkono na kina nani kwa ujinga huu?
Lazima waungaji na wafuasi wenu wawe wameyumba madish!

Ni kama vile laana ya Dk Slaa inawatafuna taratiibu.
Kama vile CCM ulivyokuwa ya Nyerere ya haki, hivyo hivyo CHADEMA ya haki ya sasa haiwezi kuwa ya Slaa ya kuhongwa pesa na vyeo.
 
Kuna maingizo mapya yanashambulia balaa! Of all Lumumbas, Lizaboni was a legend, sijui yupo wapi jamaa..
 
Watanzania sote ni mashahidi kwamba CHADEMA hii si ile iliyokuwa enzi za Dk wilbroad Slaa.
Chadema iliyokuwa ikibeba sera na hoja za kuupinga ufisadi uliokuwa ukifamywa na genge la wanamtamdao ndani ya CCM.

Sera na hoja zilizopelekea kutangazwa kwa list of shame pale kwenye viwanja vya mwembeyanga tarehe 4 ya mwezi Septemba 2007.

Mambo na hoja zile zilipelekea chadema kujizolea umaarufu nchini na hivyo kujipatia wafuasi wengi.
Na watu wengi walikuwa na imani kwa kutokana na aina ya viongozi wale kama kina Dk Kaborou,Dk Slaa,Proffesa Baregu,Proffesa Safari na kina Mabere marando kwa namna walivyokuwa wakiwakilisha hoja zao kwa uzalendo wa hali ya juu.

Wale na safu yao ikakipaisha chama huku kikiwa na vijana ambao tulitumaini watarithi siasa za watangulizi wao.

Mengi yametokea tangia hapo, baadae tulianza kuona chimbuko jipya la wanasiasa kizazi cha kina Zitto,Halima mzee,Tundu lissu ,John mnyika na Godbless lema nk.

Hawa nao waliendeleza kile walichokikuta,lakini wakiwa wamekaa kimaslahi binafsi na makundi kadhaa ya viongozi waandamizi ndani ya chama chao.

Makundi hayo yakaenda mbali zaidi kwa kufikia hatua ya wale waliokuwa nyuma ya mwenyekiti Mbowe wakijiona juu zaidi na kufikia hatua ya kuwakejeli wenzao hadharani.

Hata pale ambapo chadema ilipata viongozi wa wimbi la Lowassa kujiunga nacho.wale kundi Mwenyekiti waliendeleza dharau kwa viongozi waandamizi waliokuwa na maoni tofauti na mwenyekiti Mbowe.

Hatimae tulishuhudia kwanza kabisa chadema ile ya mwenyekiti Mbowe ikiwatimua kina Kitila Mkumbo,Samson Mwigamba na Zitto kabwe kwa makosa ya usaliti.kwamba walihoji raslimali za chama kutotumika kitaasisi zaidi ili kukiimarisha chama kitaifa,ikiwemo pia mgawanyo wa madaraka kitaifa zaidi na badala yake ikilenga zaidi wanachama wenye asili ya kaskazini.

Baadae tulishuhudia Muasisi na kiomgozi mwandamizi Dk Wilbroad Slaa, akilazimika kujiondoa chamani na kumpisha chaguo la mwenyekiti Mbowe kwenye ugombea urais wa mwaka 2015,Mzee Edward Lowassa aliekuwa ametimka kutoka CCM.

Tangia hapo ni kama chama kimekosa washauri wazuri kwa mwenyekiti na kinachoendelea sasa imekuwa ni chama cha matamko na uhamasishaji wa matukio kwa umma,ingawa umma huo umekuwa haukiungi mkono kwa kutokuwa tayari kuwaunga mkono kuanzia operesheni Sangara,operesheni Ukuta,Movement for change nk.

Sasa chadema imeparanyika mara wengine wanaitana covid19.
Wengine wamepiga kambi ughaibuni kazi yao ikiwa kuiombea mabaya Tanzania , na raia wake kwa wafadhiili na jumuia za kimataifa.
Ingawa nao wamegonga mwamba baada ya taasisi hizo kuamua kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano na Tanzania

Sasa mwenyekiti Mbowe ana kesi inayomkabili ya ugaidi inayoendelea huko mahakamani.

Cha kushangaza chadema inayoomba mabadiliko ya katiba mpya, wamegeuka wanasheria bila ya kuheshimu hata katiba hii iliyopo sasa.ambayo inatamka kuheshimu kutokujadili mjadala au kesi yoyote iliyoko mahakamani.

Kila mwana chadema amegeuka kuwa mwanasheria,viongozi waliopo kazi yao imegeuka kujadili watu badala ya hoja na sera.
Viongozi waandamizi wamegeuka watoa kashfa kwa viongozi waandamizi wa serikali huku wakiwaombea vifo.kisa uongozi na ulafi wa kuingia ikulu na hasira za kuwa nje ya Bunge.

Chadema imefikia mahali wanasherehekea vifo vya viongozi kwa kuitana kunywa bia na kuchoma nyama kwenye mabaa.Huku wakipongezana mitandaoni.

Je kwa hali hiyo mnatarajia CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (cha de ma).

Itaungwa mkono na kina nani kwa ujinga huu?
Lazima waungaji na wafuasi wenu wawe wameyumba madish!

Ni kama vile laana ya Dk Slaa inawatafuna taratiibu.
 
Kama vile CCM ulivyokuwa ya Nyerere ya haki, hivyo hivyo CHADEMA ya haki ya sasa haiwezi kuwa ya Slaa ya kuhongwa pesa na vyeo.
Kama chama kina hali mbaya kama unavyosema, wewe unahangaishwa na nini? Kwa taarifa yako chadema kina nguvu na kinaaminika kwa watu kuliko wakati wa Dr. Slaa. Kama wewe ni mtaalam wa takwimu Dr. Slaa alipata kura ngapi ukizilinganisha na baada ya kuondoka kwwake? Kipindi cha Dr. Tulikuwa na wabunge wangapi na baada yake ilikuwaje? Acha kujitekenya ndugu.
 
Ukiukwaji wa sheria unaoambatana na kuhonga majaji vyeo lazima ukosolewe na kila mpenda demokrasia duniani kote, msifunge watu midomo kwa kuwataka wasijadili huu uozo unaoanza kulinyemelea taifa letu.
Kesi mkishinda mahakama ipo huru mkishindwa mahakama haipo huru sasa hivi mnakuja na msamiati mpya eti kahongwa vyeo
kwan kwa sabaya yule hajaongwa vyeo? kwa kuwashaur tuu uenyekiti mpeni heche kwa muda katibu aitishe kamati kuu mana mwenyekit na makamu wote hawapo
 
Mbowe amejaribu kuja na hoja ya katiba mpya mmempa kesi ya ugaidi.

Mashetani wakubwa ninyi.
Kumbe katiba mpya ni hoja yake na sio ya wananchi! Hivi kumbe hoja hii ya katiba mpya imeasisiwa na Freeman Mbowe pekee!
 
Laana ya Dk wilbroad Slaa inawatafuna. Kaeni mjitafakari.mwenyekiti wenu alishiriki kuunda genge la kumkomoa Sabaya lakini sasa inaonekana watakutana kwenye moja ya Magereza nchini.

Hilo lipropaganda lirefu umeliandika likiwa limebeba matamanio yako mpaka unajichanganya. Slaa alikuwa kiongozi muasisi wa Cdm? Umebeba utoto ule ule mliokuwa mnalishana wanaccm ndio umefanya ni bonge ya tathmini. Kwa sasa hakuna tathmini yoyote inawabeba ccm kwenye ushindani na cdm, zaidi ya kutegemea vyombo vya dola kuzuia Cdm kufanya siasa.

Ni hivi, ccm sio chama cha kizazi hiki, haya mnayofanya sasa dhidi ya Cdm, ni mbinu mlizotumia huko nyuma enzi za kizazi cha ccm na zikafanikiwa. Kwa bahati mbaya Mkabaki kutegemea mbinu hizo hizo kuendelea kukaa madarakani, bila kujua kizazi cha CCM kimeshapita. Matokeo yake mnashurutisha kukaa madarakani bila ridhaa ya wananchi, ndio hapo mnapoka uchaguzi maana mnajua hamna ushawishi, na wakati huohuo idadi ya wapiga kura inazidi kushuka, maana mnalazimisha kukaa madarakani bila ridhaa yao.
 
CHADEMA kwishney kwishney....

Wamekuwa wazee wa siasa za matukio na kuchafua wengine.....
Kwani kamati kuu inakaa lini kujadili rufaa za wake zao, wale wabunge 19 wanaowalisha? Itaweza kweli kuwafukuza wakati wale ndio ma bread winners wa kamati kuu kwa Sasa?

Hivi Joyce Mukya yupo? Sijamsikia kwenda kutembelea mahabusu na watoto wake!!
 
CCM hii ndiyo ile CCM ya 1977 na waliyotaka kuiona waasisi wake!!?? Tuliokuwepo miaka hiyo hatuamini kama CCM ya sasa ni chama cha siasa sawasawa na kile cha mwaka 1977.
Chama chenye serikali kinakuwaje chama cha kijambazi/kimafia/kigaidi!!?? Ndio maono ya waasisi wake!!?
Maisha ya mwaka 1977, sio maisha ya leo. Mahitaji, changamoto na hata tekinolojia ni tofauti. Ulimwengu unabadilika hivyo, yafaa kubadilika kuendana nayo
 
Hizi 1.5trl alizochukua simlaumu maana kafanya au kujenga vitu vinavyoonekana kama vile Magufuli terminal pale mbezi luisi, stand ya treni ya kisasa ambayo itazinduliwa hivi punde, bara bara za njia 8 zilizokamilika na zile ambazo zimeshafikia hatua ya kukamilika kama vile morogoro road, kilwa road, bagamoyo road nk, daraja la mfugali, flyover, bwawa la kufufua umeme, ndege zetu wenyewe zilizopo na zile ambazo bado hazijafika ila zishalipiwa tayari, daraja la busizi, stand za mabasi za kisasa katika baadhi ya mikoa huku zingine zikiwa katika process ya kujengwa nk. Kifupi zile 1.5 T zimeenda katika matumizi sahihi ukilinganisha na yale mabilioni waliyokuwa wanakatwa wabunge, kile mwezi kwa muda wa miaka 5, mamilion ya ruzuku za chama, mamilioni ya hela za wafadhili kama vile kina Sabodo nk, michango tuliochangishwa kwenye kampeni nk ndio tunazoulizia zilipokwenda maana hakuna chama maana kilichofanyika ambacho anaweza kutuonesha kama alivyotuonesha wa 1.5 T. Ambapo matumizi yake yanaonekana kwa macho na sio porojo.
Kwahiyo miradi yote hiyo katumia mshahara wake?

Hujui hizo ni kodi za wananchi wa Tanzania?

Hivi nyinyi nani kawaroga hadi kutojua nini maana ya....kajenga.....
 
Waukubali tu ukweli chama hiki kimefika ukomo wake Kama ilivyotokea kwa NCCR ya Mrema enzi hizo.
Mawazo hayo hukuanza nayo wewe maana kuna waasisi wa hizo ndoto.

Lkn walioanzisha ndoto hizo saa hizi wapo hoi makaburini
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom