Yaani Gaidi Mbowe unamlinganisha na Yesu? Hebu acha kumdhalilisha Yesu wetu.Hakuña kesi hapo ndugu yangu unless uwe mjinga wa mwisho kutoelewa na kufahamu hili mpaka hatua hii...
Hata kama ikititokea amehukumiwa "kifungo jela" au "kunyongwa" ama uamuzi wowote ulio kinyume cha haki na sheria ili "kumkomesha" kama ambavyo wabaya wake (wenye mamlaka ya kiserikali za kidunia - Tanzania) wanatamba na kusema, hiyo haitakuwa kwa sababu ya mawakili wa utetezi kushindwa kazi yao kama unavyobuni wewe kichwani mwako na kutaka kuaminisha watu...!
HEBU FIKIRI;
1. Unadhani Yesu Kristo alihukumiwa adhabu ya kifo kwa kusulubiwa msalabani kwa sababu hakuwa na mawakili wazuri kumtetea...?
LA HASHA.....! Alikuwa nao wengi sana. Mmoja wao ni baba yake Mungu Yehova asimamae ktk nafasi zote mbili WAKILI na HAKIMU wa haki....
Lakini ni kwa sababu mambo mengine "nature" huyaruhusu yatokee kwa sababu maalumu ili kuja ku - prove baadae kwa haohao kuwa walikuwa WAJINGA na WAPUMBAVU sana walipochukua maamuzi hayo...!!