CHADEMA, heri nusu shari kuliko shari kamili

Covid-19

Senior Member
Mar 2, 2020
162
364
Wana CHADEMA wenzangu kabla ya yote niwakumbushe nini kilitokea kwenye ule mchakato wa katiba mpya pale Dodoma kwenye Bunge la Katiba, laiti tungekubali japo nusu ya mapendekezo ya ile katiba kupita leo hii tungekua kwenye hatua kubwa kuelekea michakato huru ya siasa zetu lakini kutaka kupata yote imetufanya tukose vyote.

Kwa utangulizi huo turudi kwenye hii hoja ya wabunge wetu kwenda bungeni. Katika hili nashauri tupate wapambanaji wachache waende, tukumbuke CCM walitaka asipatikane hata mbunge mmoja aliye mpinzani halisi lakini mipango ya Mungu imetubeba wanyonge sisi.

Wabunge hawa watasaidia sana kupush hoja zetu kuelekea mapambano mengine ya kidemokrasia la sivyo tutakua tumekosa vyote kama tulivyokosa Katiba mpya.

Mwenyezi Mungu awaongoze katika tafakari yenu pengine mtapata tafakari bora kuliko hii yangu.
 
Wanazunguka kuwadanganya mashabiki wao lakini watapeleka tu wabunge wa viti maalum. Mchaga hawezi acha hela haitokaa itokee.

Posho na ruzuku ndio kipaumbele cha CHADEMA.
 
Jomba kitu kimoja ni lazima muelewe na kitu rahisi Sana sijui kwann hamuelewi...CCM haiwezi kuamua chama kingine kife..nooo...hayo ni maamuzi ya wananchi pekee. CCM waamue kwa kutumia Nini...wananchi wameamua kuwapiga chini kwa sababu mmeonekana Ni matapeli wa siasa wote...

Hamjulikani mnatoka wapi na mnaenda wapi...mmekalia usanii tupu Sasa kwanini wananchi wasiwaadhibu...Lakini wengine tulikuwa tunawaambia mnajifanya hamnazo...personnaly nilifanya research nchi nzima nikasema asilimia mpaka 90 wanaunga mkono Magufuli na serikali yake...sio mbali na 84.4% aliyopata...can't u see....rejea maandiko yangu
 
Salary Slip hawezi kukuelewa, amepewa contract ya kuhakikisha washindi wanakosa uhalali lakini hataweza!
 
Jomba kitu kimoja ni lazima muelewe na kitu rahisi Sana sijui kwann hamuelewi...CCM haiwezi kuamua chama kingine kife..nooo...hayo ni maamuzi ya wananchi pekeeeeee...CCM waamue kwa kutumia Nini...wananchi wameamua kuwapiga chini kwa sababu mmeonekana Ni matapeli wa siasa wote...

Hamjulikani mnatoka wapi na mnaenda wapi...mmekalia usanii tupu Sasa kwanini wananchi wasiwaadhibu...Lakini wengine tulikuw tunawaambia mnajifanya hamnazo...personnaly nilifanya research nchi nzima nikasema asilimia mpaka 90 wanaunga mkono Magufuli na serikali yake...sio mbali na 84.4% aliyopata...can't u see....rejea maandiko yangu

2/3 ya watanzania hawakushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi, na hata hiyo 1/3 bado wote hawakuipa kura ccm. Achia mbali umwagaji damu uliofanywa na vyombo vya dola, uhuni wa wazi wa tume ya uchaguzi dhidi ya wapinzani, kura za wizi na ukiukwaji mkubwa wa sheria za uchaguzi, wakati wa kupiga na kuhesabu kura.

Kura zilizopo kwenye vituo haziwiani za urais na ubunge, yaani ni upuuzi wa hali ya juu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Wana CHADEMA wenzangu kabla ya yote niwakumbushe nini kilitokea kwenye ule mchakato wa katiba mpya pale Dodoma kwenye bunge la katiba, laiti tungekubali japo nusu ya mapendekezo ya ile katiba kupita leo hii tungekua kwenye hatua kubwa kuelekea michakato huru ya siasa zetu lakini kutaka kupata yote imetufanya tukose vyote...
Heri tukose vyote!! Chadema isipiganie Maiti za Tanzania wacha CCM ikatamalaki
 
Wanazunguka kuwadanganya mashabiki wao lakini watapeleka tu wabunge wa viti maalum. Mchaga hawezi acha hela haitokaa itokee.

Posho na ruzuku ndio kipaumbele cha chadema.
Hata CCM wanataka wasusiwe bucha ndio mana wana majina yao mfukoni kwa ajili ya kuwaapisha.
 
Jomba kitu kimoja ni lazima muelewe na kitu rahisi Sana sijui kwann hamuelewi...CCM haiwezi kuamua chama kingine kife..nooo...hayo ni maamuzi ya wananchi pekeeeeee...CCM waamue kwa kutumia Nini...wananchi wameamua kuwapiga chini kwa sababu mmeonekana Ni matapeli wa siasa wote...

Hamjulikani mnatoka wapi na mnaenda wapi...mmekalia usanii tupu Sasa kwanini wananchi wasiwaadhibu...Lakini wengine tulikuw tunawaambia mnajifanya hamnazo...personnaly nilifanya research nchi nzima nikasema asilimia mpaka 90 wanaunga mkono Magufuli na serikali yake...sio mbali na 84.4% aliyopata...can't u see....rejea maandiko yangu
Huu upuuzi muwe mnasimuliana huko Lumumba kenge nyie.
 
Mkuu Covid-19 , kiukweli ubarikiwe sana kwa hoja hii, viongozi wenu wengi wamechanganyikiwa na matokeo mpaka they can't think right!, they are insane!.

Nawasisitiza Chadema, kabla ya kususa, waliulizeni what do they expect to achieve kwa kususia kupeleka majina ya viti maalum?!. Moja Shika sii kumi nenda rudi!.
If you can't get what you want, just take what you get!.
Chadema ilisimamisha wengi majimbo mengi, ikapata moja, take what you get na ampokee zawadi ya viti maalum.


P
 
Mkuu Covid-19 , kiukweli ubarikiwe sana kwa hoja hii, viongozi wenu wengi wamechanganyikiwa na matokeo mpaka they can't think right!, they are insane!.

Nawasisitiza Chadema, kabla ya kususa, waliulizeni what do they expect to achieve kwa kususia kupeleka majina ya viti maalum?!. Moja Shika sii kumi nenda rudi!.
If you can't get what you want, just take what you get!.
Chadema ilisimamisha wengi majimbo mengi, ikapata moja, take what you get na ampokee zawadi ya viti maalum.


P
Mpeleke mkeo na basha wako.
 
Mimba ya Kicheche inafanana na naz
Jomba kitu kimoja ni lazima muelewe na kitu rahisi Sana sijui kwann hamuelewi...CCM haiwezi kuamua chama kingine kife..nooo...hayo ni maamuzi ya wananchi pekee. CCM waamue kwa kutumia Nini...wananchi wameamua kuwapiga chini kwa sababu mmeonekana Ni matapeli wa siasa wote...

Hamjulikani mnatoka wapi na mnaenda wapi...mmekalia usanii tupu Sasa kwanini wananchi wasiwaadhibu...Lakini wengine tulikuwa tunawaambia mnajifanya hamnazo...personnaly nilifanya research nchi nzima nikasema asilimia mpaka 90 wanaunga mkono Magufuli na serikali yake...sio mbali na 84.4% aliyopata...can't u see....rejea maandiko yangu
Koroma. Ndio wewe sasa
 
Nadhani wewe ni moja ya watu wasiotumia akili. Wapinzani mmejikaanga wenyewe kwa kudandia ajenda za kibaraka lisu, mlikuwa hamkemei, yaani mmegeuka kama kikundi cha kigaidi. Na bado mnajua mlichokuwa mmepanga, subirini mkomeshwe, eti mlijitia kiburi kuita watu wafanye maandamano, hahahaha, mnataka kufanya uhaini wa kupindua nchi, subirini mfungwe 50 years kila mmoja wenu
 
CCM mlilitaka bunge muwe wenyewe haya kazi kwenu, hawa wa CDM mnawataka wa nini? Mnateseka?

Hebu gawaneni viti maalum vyoote nani atawaukiza ama kuwahoji?? Mamlaka yamo mikononi mwenu ndugu msiogope kuweni na amani... waacheni CDM na ACT watibu majereha yao.
 
Mkuu Covid-19 , kiukweli ubarikiwe sana kwa hoja hii, viongozi wenu wengi wamechanganyikiwa na matokeo mpaka they can't think right!, they are insane!.

Nawasisitiza Chadema, kabla ya kususa, waliulizeni what do they expect to achieve kwa kususia kupeleka majina ya viti maalum?!. Moja Shika sii kumi nenda rudi!.
If you can't get what you want, just take what you get!.
Chadema ilisimamisha wengi majimbo mengi, ikapata moja, take what you get na ampokee zawadi ya viti maalum.


P
We ni mjinga bora na mkeo.

Pu6b2vu kabisa wewe
 
Nadhani wewe ni moja ya watu wasiotumia akili. Wapinzani mmejikaanga wenyewe kwa kudandia ajenda za kibaraka lisu, mlikuwa hamkemei, yaani mmegeuka kama kikundi cha kigaidi. Na bado mnajua mlichokuwa mmepanga, subirini mkomeshwe, eti mlijitia kiburi kuita watu wafanye maandamano, hahahaha, mnataka kufanya uhaini wa kupindua nchi, subirini mfungwe 50 years kila mmoja wenu
Miaka 50 atafungwa mam@ yako mbweha wewe
 
Nakuunga mkono.
Waende tuubjapo tunajua watadharauliwa na hawa wezi. Ila wataona aibu kuiba kama walivyo zowea wizi. Maana wanajua kuna wapinzani wata toa siri

N vyema waende wakasimamie yale upinzani inayo yaamini..
 
Back
Top Bottom