Chadema:"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti"

apolycaripto

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
644
225
Aka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la Chadema wanapokuwa vitani.Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti).Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa,Mirambo,Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware.Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua,hii hali hatukuizoe sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?.

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti,chondechonde msitumalize sisi.Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".
 
Haka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la Chadema wanapokuwa vitani.Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti).Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa,Mirambo,Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware.Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua,hii hali hatukuizoea sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?.

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti,chondechonde msitumalize sisi.Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".
 
Haka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la Chadema wanapokuwa vitani.Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti).Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa,Mirambo,Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware.Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua,hii hali hatukuizoea sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?.

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti,chondechonde msitumalize sisi.Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".

Ha ha haaaaa jamaa ni waoga balaa aisee, walikuwa wamejazana pale central walipomwagiwa maji ya washa washa walitimua mbio balaaa aisee
 
Aka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la Chadema wanapokuwa vitani.Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti).Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa,Mirambo,Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware.Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua,hii hali hatukuizoe sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?.

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti,chondechonde msitumalize sisi.Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".

Tunatafutana ubaya sasa!
 
Mods mtusaidie,hili jamvi limeingiliwa na wahuni ambao wapo kifuasi zaidi.Nimepost topic hapa ya Chadema:Heri kufa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti,wahuni wamei-highjack na kuingiza thread ya hatimaye Mbowe apewa dhamana kwa heading yangu.Narudia huu ni uhuni na haukubariki,nashauri tuwe wastaarabu na kuacha tabia mbovu na zisizokubalika.

Hata kama wafuasi hawa wanataka thread yao ionekane imesomwa sana hali yakuwa ni outdated ni bora kuiendeleza na si kunyima haki kwa wengine kutoa mawazo.Kwa nini tupotoshe wasomaji/wachangiaji?.

Tatueni hili tatizo linaonekana kuwa kongwe kwa hawa crooks .
 
Haka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti". Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la CHADEMA wanapokuwa vitani. Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.

Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti). Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.
Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa, Mirambo, Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware. Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".

Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua, hii hali hatukuizoe sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti, chondechonde msitumalize sisi.
Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".
 
Mods mtusaidie,hili jamvi limeingiliwa na wahuni ambao wapo kifuasi zaidi.Nimepost topic hapa ya Chadema:Heri kufa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti,wahuni wamei-highjack na kuingiza thread ya hatimaye Mbowe apewa dhamana kwa heading yangu.Narudia huu ni uhuni na haukubariki,nashauri tuwe wastaarabu na kuacha tabia mbovu na zisizokubalika.

Hata kama wafuasi hawa wanataka thread yao ionekane imesomwa sana hali yakuwa ni outdated ni bora kuiendeleza na si kunyima haki kwa wengine kutoa mawazo.Kwa nini tupotoshe wasomaji/wachangiaji?.

Tatueni hili tatizo linaonekana kuwa kongwe kwa hawa crooks .

Rekebisha hiro rikiswahiri rako kwanza. Kisha wacha kucheza na dora. Sawa.
 
aka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la Chadema wanapokuwa vitani.Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti).Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa,Mirambo,Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware.Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua,hii hali hatukuizoe a sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?.

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti,chondechonde msitumalize sisi.Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".


Bado kidogo, usiwe na wasiwasi sote CDM tutakufa tumesimama ikibidi -- usifanye haraka. Nyie watu wa magamba ni wagumu sana (hard nut to crack) kwa hivyo lazima tuwachukulie kwa busara yaani kuuma na kupuliza. Pole pole watu wanazidi kuhamasika na kupanda mori. wewe hesab siku zenu, sorry, masaa yenu tu yaliyobakia. Nyie ni watu wa kuondoka -- haraka ya nini? Is that loud and clear?

 
Magamba msituendeshe puta. Mtaipata tu -- hakuna way out! You want see blood? Just you endeleeni na uhovyo wenu.
 


Bado kidogo, usiwe na wasiwasi sote CDM tutakufa tumesimama ikibidi -- usifanye haraka. Nyie watu wa magamba ni wagumu sana (hard nut to crack) kwa hivyo lazima tuwachukulie kwa busara yaani kuuma na kupuliza. Pole pole watu wanazidi kuhamasika na kupanda mori. wewe hesab siku zenu, sorry, masaa yenu tu yaliyobakia. Nyie ni watu wa kuondoka -- haraka ya nini? Is that loud and clear?

"kuuma na kupuliza" ni dalili kubwa ya unafiki mzee.Mbona mnapouma mnawashirikisha wafuasi lakini mnapopuliza hamuwashirikishi?.Angalieni hamasa isijegeuka karaha na kujipotezesha.
 
"kuuma na kupuliza" ni dalili kubwa ya unafiki mzee.Mbona mnapouma mnawashirikisha wafuasi lakini mnapopuliza hamuwashirikishi?.Angalieni hamasa isijegeuka karaha na kujipotezesha.


Sasa wewe ungependa tuwaondoe kwa vipi? Chagueni wenyewe!
 
Sasa wewe ungependa tuwaondoe kwa vipi? Chagueni wenyewe!


Watch truelies by Arnold Schwarzenegger pale kazee kalipotaka kumuondoa kwa kumdunga sindano ya sumu na baadae mambo kukageukia kwa kuvunjwa shingo.Tambua you have nothing than words,hizi zimekwisha kuwa zilipendwa mpaka 2015 itoke episode nyingine ya hatuyatambui matokeo.
 
aka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia.

"Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la Chadema wanapokuwa vitani.Nimekwazwa sana na utekelezaji wa usemi huu ambapo wasiousema ndio wanautimiza kama jamaa zetu watatu pale Arusha.Juzi mkuu wa usemi dakika chache tu baada ya kunena alitenda tofauti na kujikabidhisha polisi (kwa maana ya kuishi akiwa amepiga magoti).Kale kadada kangu na maandamano kaliukana tena usemi na kuchagua kupiga mbio baada ya wapiganaji wa kweli kuibuka na vya moto vinavyotoa uhai.Bahati mbaya mbio hazikutosha leo nasikia kanaungurumia kisutu (kupiga magoti).

Jamani misemo hii tuwaachie akina Mkwawa,Mirambo,Isike n.k sio sisi akina Kinjekitile Ngware.Iwapo hatuna uwezo wa kutimiza basi tusiwaumize vijana wetu na misemo mfu kama ilivyokuwa "vita ya majimaji".Wengi wetu ni waoga na mara kwa mara tumekuwa tukikimbia hasa viongozi kipindi wapiganaji wa kweli wanapozifyatua,hii hali hatukuizoe a sasa mbona tunailazimisha wakati hatuimudu?.

Viongozi wa CHADEMA sijaona yeyote kati yenu aliyekufa amesimama wote mnaishi mmepiga magoti,chondechonde msitumalize sisi.Next time kama mtaendelea na msemo huu basi mtuonyeshe mfano wa "kufa mmesimama".

Unajua kama una cha kusema hapa JF ni bora uende ukafanye umbea wako huko vijiweni.....unaongea upumbavu sana na inaelekea una uwezo mdogo wa kufikiri na kuamua mambo,kama akili yako imekutuma uandike haya basi wewe ni "bogus"....
 
Unajua kama una cha kusema hapa JF ni bora uende ukafanye umbea wako huko vijiweni.....unaongea upumbavu sana na inaelekea una uwezo mdogo wa kufikiri na kuamua mambo,kama akili yako imekutuma uandike haya basi wewe ni "bogus"....


Unatumia nini, konyagi ama bangi au vyote kwa pamoja?
 
Yes brother or sister (I don't know), it loud and clear. And I think our friend got it well. Kwani huyu jamaa hajui kabisa mbinu za kivita kuwa ku-retreat sio kushindwa wala woga? Amesahau waliokwisha kufa literally kwenye vita hivi? Upinzani wa kweli tumeuona tza kwa cdm tangu tupate uhuru Tanganyika, na kwa kweli ccm iko tumbo moto kwa ajili ya cdm. Hilo halikanushiki. Nani mwoga apiganaye na asiye na silaha kwa hamaki au ashindanaye na aliye na silaha kwa nguvu za hoja?

Bado kidogo, usiwe na wasiwasi sote CDM tutakufa tumesimama ikibidi -- usifanye haraka. Nyie watu wa magamba ni wagumu sana (hard nut to crack) kwa hivyo lazima tuwachukulie kwa busara yaani kuuma na kupuliza. Pole pole watu wanazidi kuhamasika na kupanda mori. wewe hesab siku zenu, sorry, masaa yenu tu yaliyobakia. Nyie ni watu wa kuondoka -- haraka ya nini? Is that loud and clear?

 
Unaongea kufa huku umesimama wakati unapost thread kupitia blackbrry yako huku ukivuta Serengeti yako bariiiidi. Hivi we sharobaro unaweza kuandamana?Na hii mibia na kitimoto utaweza kukimbia mabomu ya machozi? Aheni kuwalisha waTZ ujinga kwani wameshajua nini agenda yenu, si kuwaletea wananchi maendeleo bali kujinufaisha tu, hatudanganyikii?
 
Back
Top Bottom