CHADEMA haya ndiyo mataifa mnaomba yaiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi

🤣🤣
Balozi na serikali ni rafiki yetu...

Kule Ujerumani CDU ni marafiki wa TL....
Sasa wanang'amua kumbe marafiki zao ni 'magaidi'; kwa hiyo wanatafuta marafiki wa kweli, ambao wao ni wakadamizaji wa wananchi!

Hapo kuna nafuu yoyote kweli?
 
Wanakumbi.

CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!

Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati. Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.

Mpumbavu ni nani?

Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.

View attachment 1872026
Mtataga maboga
IMG_20210728_085909.jpeg
 
Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!
Hivi DPP si anaweza kusema hana nia tena ya kuendelea ma mashtaka? That's the back door ambayo Rais anatumia kufuta kesi. Political power overrides judiciary system
 
Yaani tuwekewe vikwazo vya uchumi na wao wanaishi humu humu
Yes Mandela alitumia hyo strategy..... Kuparalyse serikali ili iondoke madarakani as a result of international pressure. Tatizo waTZ hatuna exposure pengine umeisikia mara ya kwanza hapa.
 
Halafu wakiweka vikwazo ndio tutapata hela ya kuendeleza mchakato wa katiba mpya na kupunguza makali ya tozo?🤣🤸‍♂️🐒

..vikwazo vitakuwa dhidi ya serikali ya CCM

..Na badala yake misaada itaelekezwa kwa NGOs.
 
Balozi wa Ujerumani mh.Heiss anasema "pongezi kwa serikali ya AWAMU ya 6 chini ya mh.Rais SSH kwa kuanza vyema kulijenga taifa ndani ya siku chache"......

YA NGOSWE MUACHIE NGOSWE

CHADEMA WAENDELEE KUUFUKUZA UPEPO.

#TujitokeziKuchanjwa

..Na balozi huyo ndio aliyemtoa Tundu Lissu toka mahabusu, akampa hifadhi, na baadae akamsindikiza mpaka uwanja wa ndege.

..Serikali ilishaonyesha kwamba inaogopa mabalozi wa nchi zinazotupatia misaada ndio maana wapinzani wanakwenda kushtakia huko.

NB.

..Lissu anadai alikamatwa nje ya ubalozi wa Ujerumani na askari waliovalia kiraia wanaoendesha magari yenye namba za Kenya.
 
Yes Mandela alitumia hyo strategy..... Kuparalyse serikali ili iondoke madarakani as a result of international pressure. Tatizo waTZ hatuna exposure pengine umeisikia mara ya kwanza hapa.
Mkuu 'zitto junior', nitakueleza kwa nini 'strategy' ya namna hiyo huwezi kuipata na kuitumia wakati huu. China.

Usione hawa jamaa wanavyopigana vibega wakati huu wakifukuzia kutuletea chanjo hapa na sifa za ajabu sana unazozisikia kwa wakati huu ukadhani ni vichaa!

Wakati huu wako tayari sana kukutupa chini ya gari moshi usagike na ukandamizwaji wako kuliko kumsema mkandamizaji kama kajitoa na kukubali kujiegemeza kwao kuliko kumwacha akimbilie kwa wachina.

Huoni hii mikakati inavyopangwa sasa hivi?

Hii haina maana ya kukata tamaa juu ya mapambano ya hatma ya nchi yetu. Mabadiliko tunayataka sisi, sio wao. Kwa hiyo waunge au wasiunge mkono upande wa wakandamizwaji, ni wajibwa kujitoa kwenye ukandamizaji kwa njia zozote ziwezekanazo.
Wataifanya kazi ya ukombozi kuwa ngumu, lakini hapajawahi tokea mapambano ya ukombozi yoyote ambayo hayajawahi kuwa magumu.
 
Wanakumbi.

CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!

Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati. Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.

Mpumbavu ni nani?

Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.

View attachment 1872026
Kumbe una amini kuwa Mbowe amebambikzwa kesi kwa sababu ya kupambana na serikali? Kama ni hivyo, hamwezi kumshinda Mbowe.
 
Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!
Tatizo kubwa la chadema sasa hivi ni kukosa strategists wanaoweza kukishauri chama kuji-adjust ili kiendane na mazingira yaliyopo.
Baada Rais Samia kusema wampe muda atakutana nao, chadema walipaswa kutulia na kuendelea kukumbushia ahadi yake, badala yake wao wakachagua kumpa ultimatums!
Kuhusu katiba, Rais Samia aliposema wampe muda ashughurikie issue ya uchumi kwanza, wangetulia na kuichukua kama ahadi, badala yake wakataka kuingia mabarabarani na kufanya maandamano yasiyo na tija!
Wakati kama huu wa kesi ya mbowe, badala ya kutaka mbowe aachiwe, walipaswa kupaza sauti kutaka haki itendeke. Wao wanadhani wakifanya maandamano basi itamsaidia mbowe kuponyoka kwenye mkono wa sheria.
Tanzania kwa sasa iko kwenye strategic interests za marekani (ili kuwapiku wachina), wasitegemee kwamba marekani ita-abandon interests zake ili ku-favour za chadema.
 
Usione hawa jamaa wanavyopigana vibega wakati huu wakifukuzia kutuletea chanjo hapa na sifa za ajabu sana unazozisikia kwa wakati huu ukadhani ni vichaa!

Wakati huu wako tayari sana kukutupa chini ya gari moshi usagike na ukandamizwaji wako kuliko kumsema mkandamizaji kama kajitoa na kukubali kujiegemeza kwao kuliko kumwacha akimbilie kwa wachina.
Mkuu, umesema vizuri sana hapo. Kama nilivyosema kwenye post yangu hapo juu, Tanzania sasa hivi ni strategically hot spot kwa waamerika na wachina. Sasa hivi wote wako tayari kum-'throw under the bus' mtu yeyote ili interests zao zifanikiwe.
Waamerika wakisikia 'wachina' wanataka kujenga bandari bagamoyo, wanachofikiria ni military base, hilo hawawezi kulikubali hata kidogo!
 
Mkuu, umesema vizuri sana hapo. Kama nilivyosema kwenye post yangu hapo juu, Tanzania sasa hivi ni strategically hot spot kwa waamerika na wachina. Sasa hivi wote wako tayari kum-'throw under the bus' mtu yeyote ili interests zao zifanikiwe.
Waamerika wakisikia 'wachina' wanataka kujenga bandari bagamoyo, wanachofikiria ni military base, hilo hawawezi kulikubali hata kidogo!

..kwa hiyo ccm wanaweza kumridhisha mchina na mmarekani kwa wakati mmoja?

..busara ni Watz kuamua vyama vyote vya siasa viwe na haki sawa mbele ya sheria zetu.

..Je, ni chama gani kinazuia haki kutendeka hapa nchini?
 
..vikwazo vitakuwa dhidi ya serikali ya CCM

..Na badala yake misaada itaelekezwa kwa NGOs.
Likitokea hilo hizo NGOs zitakuwa zinamilikiwa na akina Mbowe, Msigwa, Lema nk. Zitageuka kuwa ni dili za kupiga pesa, na hizo pesa ili upate itabidi uanze kutafuta connections za watu wataokuwa na influence juu ya hao watoa pesa. TZ shida nyingi mzee, tatizo la TZ ni watu siyo katiba
 
Hili jibu limethibitisha kuwa1 wewe kuitwa mpumbavu unapendelewa2. Wewe nakushauri uwaeleze nduguzo wakuwaishe mirembe1 kabla hujachelewa ama1 sivyo kuungana na mwendazake ni haki yako
Moja ya silaha kubwa ya Pro-Chadema JF ni matusi.

Sikia wewe punguani acha akili yake ifanye kazi usiwe mateka wa Mbowe, kazi kupiga kelele kwenye mitandao tu ingia barabarani kwenye battle.
 
Wanakumbi.

CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!

Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati. Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.

Mpumbavu ni nani?

Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.

View attachment 1872026
Kwani MBOYE kauwa viongozi wangapi ??? Je alitumia kisu au bastolo?
 
Mnataka tudai Katiba Mpya ili mtanzania akikamatwa tuwe tunakimbilia kwenye Mabalozi ya mataifa mengine kutaka aachiwe au tuwe na Mahakama Huru zinazotoa Haki?
Tulitegemea CHADEMA washinikize Mahakama kumpa Mbowe, haki sio ubalozi wa USA uingilie aachiwe!
 
Juzi mshauri mpya wa Chadema yule pimbi anajificha kama Nguchiro anawandanya kuwa mnakubalika sana kwa wananchi anzisheni vikundi vya kigaidi kila mtaa watu 10.
 
Back
Top Bottom