SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,920
- 1,996
Mkuu umeongea yapo ninayoyaunga mkono mimi japo ni mpinzani nakubali awamu ya tano inajitahidi ila ila kwenye sector ya afya bado sijaona ninapenda kuishauri serekali hospital kwa sisi wananchi wa chini tunahitaji kuziona zikiwa na dawa za kutosha maana kama kodi mnajitahidi kukusanya basi madawa yapewe kipaumbele kununuliwa ...