Zee la kitaa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 403
- 211
Vyama vya upinzani havimaanishi uadui na chama tawala bali vyote vinatakiwa kujielewa kuwa vipo kwa ajili ya kuleta maendeleo katika taifa la Tanzania.
Imefikiwa wakati CHADEMA hawataki kusikia mazuri yanayotekelezwa na serikali na bahati mbaya vijana wa CHADEMA wamejikita kueneza mabaya bila kutambua hata jema linalotekelezwa na Serikali. Ukiwa kiongozi ndani ya chadema we sifia serikali utaitwa kila aina la jina.
Umenunuliwa; unataka kujiunga na CCM na mambo mengine kadhaa. Kuwa upinzani hakumaanisha ni kupinga kila kitu bali kuwa watch dog to the ruling part na kupaza sauti kwa jema na zuri; kuhusu baya ni kuleta njia bora ya kufikia maendeleo ya taifa hili.
Ikumbukwe Tanzania itabaki kuwa Tanzania bali vyama vitapita na kupotea.
Ni wakati vyama vikatambua kushirikiana vizuri na serikali kujenga taifa letu kwa kizazi cha sasa na badae.
Imefikiwa wakati CHADEMA hawataki kusikia mazuri yanayotekelezwa na serikali na bahati mbaya vijana wa CHADEMA wamejikita kueneza mabaya bila kutambua hata jema linalotekelezwa na Serikali. Ukiwa kiongozi ndani ya chadema we sifia serikali utaitwa kila aina la jina.
Umenunuliwa; unataka kujiunga na CCM na mambo mengine kadhaa. Kuwa upinzani hakumaanisha ni kupinga kila kitu bali kuwa watch dog to the ruling part na kupaza sauti kwa jema na zuri; kuhusu baya ni kuleta njia bora ya kufikia maendeleo ya taifa hili.
Ikumbukwe Tanzania itabaki kuwa Tanzania bali vyama vitapita na kupotea.
Ni wakati vyama vikatambua kushirikiana vizuri na serikali kujenga taifa letu kwa kizazi cha sasa na badae.