johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,524
Ieleweke kuwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani katika Bunge lililopita ndiyo walikuwa wanaongoza Kamati ya PAC wakiwakilishwa na mama Kaboyoka.
Leo bungeni Wabunge wa CCM wamesema TANROADS kujenga viwanja vya ndege ni kinyume na kanuni za Kimataifa, je, CHADEMA hawakuliona hili hadi CAG akemee?
Spika Tulia ameonyesha wasiwasi juu ya uhalali wa KADCO iliyopo jimboni Hai kwa aliyekuwa KUB, je, CHADEMA na hili hawakulijua na kuihoji Serikali?
Mlale unono.
Leo bungeni Wabunge wa CCM wamesema TANROADS kujenga viwanja vya ndege ni kinyume na kanuni za Kimataifa, je, CHADEMA hawakuliona hili hadi CAG akemee?
Spika Tulia ameonyesha wasiwasi juu ya uhalali wa KADCO iliyopo jimboni Hai kwa aliyekuwa KUB, je, CHADEMA na hili hawakulijua na kuihoji Serikali?
Mlale unono.