mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
Jamani kuna kitu kimenisikitisha na kimenihuzunisha, hivi hiki chama hakikuwa na uniformity ya mihuri haiwezekani kwa chama makini kama hiki chenye viongozi wa kanda kifanye madudu kama haya.
Kwa mfano Meatu mhuri badala ya kuandikwa CHADEMA unaandika"CDN" pamoja na kujua hila zote za CCM na kujua mapema mitego kama hiyo lkn yamefanyika madudu kama hayo.
Meatu wagombea wote wamepigwa chini kwa kosa hilo inasikitisha kwa kweli kule Same ndio hivyo tena.
Unajiuliza iweje Shinyanga Mjini wajaze vizuri Meatu waboronge? Ina maana kila mtu alikuwa anajijazia anavyojua yeye?
Sijajua hatua gani zimechukuliwa kuwapatia haki wananchi lakini huu ni uzembe mkubwa umefanyika. Mbona CUF hawakufanya madudu haya?
Labda mwenye jibu atatuambia.
Kwa mfano Meatu mhuri badala ya kuandikwa CHADEMA unaandika"CDN" pamoja na kujua hila zote za CCM na kujua mapema mitego kama hiyo lkn yamefanyika madudu kama hayo.
Meatu wagombea wote wamepigwa chini kwa kosa hilo inasikitisha kwa kweli kule Same ndio hivyo tena.
Unajiuliza iweje Shinyanga Mjini wajaze vizuri Meatu waboronge? Ina maana kila mtu alikuwa anajijazia anavyojua yeye?
Sijajua hatua gani zimechukuliwa kuwapatia haki wananchi lakini huu ni uzembe mkubwa umefanyika. Mbona CUF hawakufanya madudu haya?
Labda mwenye jibu atatuambia.