CHADEMA hawajahudhuria sherehe za uzimaji mwenge na kumbukizi la mwalimu Nyerere huko kusini

Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Chadema mh Freeman Mbowe ameshindwa kujumuika na viongozi wenzake katika sherehe za kuuzima mwenge.
Tukio hili pia ni kumbukizi la baba wa taifa mwalimu Nyerere na viongozi wakongwe kwenye upinzani mzee Shibuda, Cheyo na Dr Mrema wamehudhuria.
Bado haijaeleweka sababu zilizomzuia Mbowe kujumuika na viongozi wenzake wa kitaifa labda ameenda kujiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa.
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1232960
View attachment 1232961
View attachment 1232962
View attachment 1232964
View attachment 1232963
View attachment 1232965
Hawataki mwenge uzimwe ili uendelee kuwamulika wasioipendea mema Tanzania.
 
Kaipigie ccm kura hatuna haja na kura yako ya kipashukuna
Kitendo kilichofanywa na viongozi kuanzia ngazi ya mitaa/vijiji, wilaya, mikoa na taifa kutoshiriki kwenye sherehe za mwenge wa uhuru sambamba na miaka 20 ya kutokuwepo muasisi taifa letu, MWL J.K Nyerere ni kuasi kwa kiasi kikubwa utashi wa watanzania wenye upendo na nchi yetu.

Chadema mtambua kutohudhuria matukio muhimu ya kitaifa ni kutudharau wapiga kura wenye mapenzi ya dhati kwa nchi. CHADEMA badilikeni, mnazidi kujimaliza. JPM hamkomeshi bali mnajiweka mbali na kura nyinyi wenyewe.

Msije kujilaumu Novemba 24, 2019 mtaposababisha chama chetu kikapoteza uchaguzi wa serikali za mitaa!! Kamanda Mbowe badilisha gia, chama kinazidi kupoteza dira.

Epuka kufuata ushauri wa akina mbunge Lema na Meya Jacob hautaweza kutuvusha chama chema kuelekea kwenye ushindi. Tubadilike wakati siyo rafiki.
 
DJ mudawake wa kua mwenyekiti wa Chadema umekwisha kisheria, kwaiyo hakua na sifa za kuhudhuria kama kiongozi wa chadema.
Bali mpiga tumba bado yupo ingawa sisi wana ccm tumemchoka
 
Kwani Membe ni kiongozi?!
waliohudhuria pale wote wanamsaliti mwalimu nyerere. nyerere hakushiriki KUPORA KOROSHO ZA WAKULIMA NA KUTOKOMEA NAZO BILA KULIPA. ni mwaka sasa umepita bila wakulima kulipwa korosho zao huko lindi na kwinginepo kila siku ngonjeraaaa
 
Kitendo kilichofanywa na viongozi kuanzia ngazi ya mitaa/vijiji, wilaya, mikoa na taifa kutoshiriki kwenye sherehe za mwenge wa uhuru sambamba na miaka 20 ya kutokuwepo muasisi taifa letu, MWL J.K Nyerere ni kuasi kwa kiasi kikubwa utashi wa watanzania wenye upendo na nchi yetu. Chadema mtambua kutohudhuria matukio muhimu ya kitaifa ni kutudharau wapiga kura wenye mapenzi ya dhati kwa nchi. CHADEMA badilikeni, mnazidi kujimaliza. JPM hamkomeshi bali mnajiweka mbali na kura nyinyi wenyewe.
Msije kujilaumu Novemba 24, 2019 mtaposababisha chama chetu kikapoteza uchaguzi wa serikali za mitaa!! Kamanda Mbowe badilisha gia, chama kinazidi kupoteza dira.
Epuka kufuata ushauri wa akina mbunge Lema na Meya Jacob hautaweza kutuvusha chama chema kuelekea kwenye ushindi. Tubadilike wakati siyo rafiki.
acha uongo
 
Hakuweza kwenda kule Lindi kwa sababu hakuna utengamano na vyama vya upinzani na chama tawala.
 
Mwenge ni shughuli ya maana pia!

Siwashauri viongozi wa upinzani kushiriki matambiko karne ya 21 iliyosheni sayansi na teknolojia. Hayo ni mambo ya karne iliyopita ni vyema yakabaki makumbusho kama historia ya nchi yetu. Cdm msishiriki falsafa za ccm kwani mwenge hauna falsafa iliyo wazi zaidi ya ibada za matambiko.
 
Leo ajabu sijaona hata Rais mtaafu mmoja.
Ajabu ya leo ni kutajwa Viongozi wa upinzani wawili tu Shibuda na John Cheyo halafu akataja CUF bila jina la kiongozi wake aliyehudhulia na zaidi akaishia hapo bila kuongelea kipenzi chetu ambacho leo hakikuwepo... DOVUTWA, nikivuta kumbukumbu za siku za nyuma huyu nimekuwa nikimuona ktk picha kila pale Mbowe anapokuwa mahakamani, Je katumwa na akina Shibuda?
 
Back
Top Bottom