Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Chama changu chadema kimenifurahisha sana! Hili jibu lao limeonesha ujasiri, kupevuka na umakini wa hali ya juu sana. Tunaenda vzur sana na kwa huu mwendo tutafika mbali sana! Mapambano yanaendelea. Hao tumeshawajua. Tunabadili mbinu maana maadui wameongezeka. Cha msingi ni kwamba HAKUNA KULALA HADI KIELEWEKE!. .