ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
Wakuu nimeipata hii youtube, inatisha na huwezi kuamini.
mikakati mikubwa inachorwa na kutekelezwa na watu tunaowaamini ni wanamapinduzi na wanamageuzi.
Hii sasa hatari.
Jionee na kusikiliza mwenyewe ukweli huu kutoka kwenye youtube. Huyu anayeongea na kupanga mikakati ni MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHADEMA WILLIFRED LWAKATARE akitoa maelekezo kwa vijana wake kwenda kutekeleza tukio la kumteka mwandishi mwandamizi wa mwananchi ambaye ni threat kubwa kwa CHADEMA na ambaye ni rafiki mkubwa wa Zitto.
Anatolea mfano wa matukio mengine waliyoyatekeleza kama lile la kumwagiwa tindikali MUSSA TESHA huko Igunga na kuuawa kwa kijana katika vurugu za CHADEMA na polisi huko Morogoro ambapo tuliambiwa ameangukiwa na kitu chenye ncha kali..
==========================================================
MANENO YALIYOANDIKWA KUAMBATANA NA VIDEO YANASOMEKA HIVI:
==========================================================
VID-20121228-00005 - YouTube
sasa hapo kwenye blue, mtu atakuwaje na hicho cheo huku anapanga mateso kwa raia huru???
Last edited by a moderator: