Kwanza hakuna sauti kuna rafiki yangu ananiambia hapa ni kitu kimekuwa staged na most likely ni Nape na Ridhiwani watakuwa wamefanya hivi kupunguza mkali nasikia hawa majamaa ndio wenye vikundi vya wanaojiita waislamu (Saidi Mwaipopo) na wale wanaojiita mbalazi wa amani wanatumwa kuspin ukweli unapokuwa kweli ,kwa sasa vijana hao wameingia kwenye kundi la mafiaDuh, mkuu hii mbona noma kama mambo ndo hivyo
halafu baada ya you tube= list ya mamafia wa matusi dhidi ya chadema wameongozana hii si bahati kwamba walikuwepo wote wamepanga kuja kuiuproot thread we know you centre right back front