Mbali na mapungufu mengi sana ya mfumo wa uchaguzi na TUME YENYEWE YA UCHAGUZI ambavyo vimekuwa vikilalamikiwa sana kutaka kubaka demokrasia nchini lkn ikweli ni kwamba bado moto wa mabadiliko ktk nchi hii haujafika vijijini na ndo maana chaguzi nyingi matokeo ya vijijini yanakuwa yanaibeba sn ccm,Kule makatibu kata, wenyeviti wa vijiji na seikali za mitaa ndo waratibu wa madhambi mengi ya wizi wa kura.
HIVYO NASHAURI HUU NDO WKT MUAFAKA WA CDM KUHAMISHIA MAPAMBANO HUKO VIJIJINI VINGINEVYO VUGUVUGU HILI LITAISHIA MAENEO YA MIJINI KAMA ILIVYO SASA, WKT HUKO VIJIJINI ccm tayari wana mtaji wao wa muda mrefu,
wkt ni sasa 2015 panapo majaliwa si mbali
HIVYO NASHAURI HUU NDO WKT MUAFAKA WA CDM KUHAMISHIA MAPAMBANO HUKO VIJIJINI VINGINEVYO VUGUVUGU HILI LITAISHIA MAENEO YA MIJINI KAMA ILIVYO SASA, WKT HUKO VIJIJINI ccm tayari wana mtaji wao wa muda mrefu,
wkt ni sasa 2015 panapo majaliwa si mbali