Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Upepo wa kisiasa unavuma vibaya kwa upande wa Mh Hamad Rashid wa CUF Unaweza kusababisha kumuengua kutoka ndani ya chama cha CUF.
Bila ya shaka ikitokea hivyo atakuwa na chaguo la vyama viwili vya kisiasa vyenye nguvu ili asipotee katika siasa yaani CDM na CCM. Akitaka kubaki kwenye chati nzuri na umaarufu wa kisiasa chaguo zuri ni CDM. Hali itakayochangia chama hicho kuzoa kura za visiwani kama atagombea nafasi hiyo ya urais huko visiwani.
Kwa upande wa CUF Hali inaweza kuwa mbaya na ikiwa hivyo pengine mwafaka sasa ukawa wa vyama vitatu baada ya uchaguzi. CDM, CUF na CUF.
Bila ya shaka ikitokea hivyo atakuwa na chaguo la vyama viwili vya kisiasa vyenye nguvu ili asipotee katika siasa yaani CDM na CCM. Akitaka kubaki kwenye chati nzuri na umaarufu wa kisiasa chaguo zuri ni CDM. Hali itakayochangia chama hicho kuzoa kura za visiwani kama atagombea nafasi hiyo ya urais huko visiwani.
Kwa upande wa CUF Hali inaweza kuwa mbaya na ikiwa hivyo pengine mwafaka sasa ukawa wa vyama vitatu baada ya uchaguzi. CDM, CUF na CUF.