Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Moja ya maagizo ya vitabu vyoote vya dini ni kufuata sheriaLakini sheria ifuate mkondo wake.
Moja ya maagizo ya vitabu vyoote vya dini ni kufuata sheriaLakini sheria ifuate mkondo wake.
Kama unavyo ishi kwenye ndoto kuwa jiwe atarudiNdoto za alinacha
Hili ni jukwaa la siasa kama unataka lugha lifuate jukwaa lake.Nothing lasts longer!!! Mbona ccm imelast veeerrryyy longer na inaendelea kulast longest. Nafikiri ungesema NOTHING LASTS FOREVER
Amina Amina Amina Amina Amina Amina AminaAmeen ....na iwe kama ULIVYONENA
Wewe mwenyewe ni abunuasi sukununuNi hekaya za abunuwasi
Kama wewe unavyootaHizi ndoto zipo tangu mwaka 1995.
Anyway, kuota siyo dhambi.
Daima watumishi wa sheitwani upinga mawazo ya Mungu kama weweAnd Mandela never won. Wake up assh.ole.
Was having a Bkack president, the only thing South Africans fought for ??
Ardhi na uchumi wote bado ni mali ya MZUNGU.
Amka usingizini
Innalillah wainal maswabrinahMwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri - Quran
Mafanikio huanza na njoziNdoto za alinacha
Huna akili kabisaSisi Tunaamini kwamba baada ya muda mfupi ujao tutatwaa madaraka ya nchi yetu kwa njia ya halali kabisa , Ninamaanisha kwamba tutaiondoa ccm madarakani na kuchukua uongozi wa nchi hii huku wananchi wakishangilia sana kwa kumshinda Mkoloni mweusi nchi nzima , hili halipingiki , kama ulikuwa hujui basi kuanzia muda huu chukua hiyo na uhifadhi kichwani mwako , NOTHING LASTS LONGER .
Bali pamoja na ushindi mnono titakaoupata TUNAAHIDI KWAMBA HATUTALIPA KISASI CHOCHOTE KWA UNYAMA TULIOFANYIWA KWA MIAKA YOTE , hatutalipa kisasi kwa waliouawa , walioteswa , waliopewa ulemavu wala waliopotezwa , tutajikita kwenye ujenzi wa Tanzania mpya ili kuboresha maisha ya wananchi wetu WALIODHULUMIWA KWA MIAKA 60 .
Visasi na Malipo ni KAZI YA MUNGU .
Lengo la uzi huu ni kuwatoa wasiwasi watu wote waliotumikishwa na watawala kuteka , kuua au kuwatesa na kuwanyanyasa wanachama na viongozi wa chadema kwamba sisi hatutahangaika na Mamluki Watumwa waliotumika kama mifugo kutesa raia wenzao , BALI TUNATOA WITO KWA KILA ALIYEHUSIKA KUTUBU ILI AEPUKE GHADHABU ZA MUNGU
View attachment 2015763
Naungana na wewe KWA asilimia mia,itakua ni jukum letu tu kutafuta pesa Ili kutoa kifuta machozi KWA watanzania walioumizwa,ndugu zao kuuwawa, waliobambikiwa KESI na kuwa Magerezani na maisha yao kuaribika,Sisi Tunaamini kwamba baada ya muda mfupi ujao tutatwaa madaraka ya nchi yetu kwa njia ya halali kabisa , Ninamaanisha kwamba tutaiondoa ccm madarakani na kuchukua uongozi wa nchi hii huku wananchi wakishangilia sana kwa kumshinda Mkoloni mweusi nchi nzima , hili halipingiki , kama ulikuwa hujui basi kuanzia muda huu chukua hiyo na uhifadhi kichwani mwako , NOTHING LASTS LONGER .
Bali pamoja na ushindi mnono titakaoupata TUNAAHIDI KWAMBA HATUTALIPA KISASI CHOCHOTE KWA UNYAMA TULIOFANYIWA KWA MIAKA YOTE , hatutalipa kisasi kwa waliouawa , walioteswa , waliopewa ulemavu wala waliopotezwa , tutajikita kwenye ujenzi wa Tanzania mpya ili kuboresha maisha ya wananchi wetu WALIODHULUMIWA KWA MIAKA 60 .
Visasi na Malipo ni KAZI YA MUNGU .
Lengo la uzi huu ni kuwatoa wasiwasi watu wote waliotumikishwa na watawala kuteka , kuua au kuwatesa na kuwanyanyasa wanachama na viongozi wa chadema kwamba sisi hatutahangaika na Mamluki Watumwa waliotumika kama mifugo kutesa raia wenzao , BALI TUNATOA WITO KWA KILA ALIYEHUSIKA KUTUBU ILI AEPUKE GHADHABU ZA MUNGU
View attachment 2015763
AminaNaungana na wewe KWA asilimia mia,itakua ni jukum letu tu kutafuta pesa Ili kutoa kifuta machozi KWA watanzania walioumizwa,ndugu zao kuuwawa, waliobambikiwa KESI na kuwa Magerezani na maisha yao kuaribika,
Moyo wangu unaamani Sana maana utawala wa ccm umefika mwisho.
Kama wamefumba macho wasikie, Mungu kaisha futa utawala wa nchi hii chini ya ccm, alama za nyakati zote zipo wazi,
Unawaza kitoto sanaBasi kheri muhimu ni mipango na mikakati kitu ambacho ni tatizo kwa Chadema, CCM wana mipango hadi ya mwaka 3000.
Mkiwa mmepanga vitu vizuri kwanini msishinde? Jipangeni mshawishi wanachama kupiga kura sio kupata washabiki ambao kwenye mikutano wanajaa siku za kupiga kura hawaonekani, tena hata vitambulisho vya kupigia kura hawana.