CHADEMA haitakufa kwa kuchoma ofisi

Dec 11, 2010
3,321
6,327

Tangu kale katabia ka wanasiasa kuhama chama kimoja na kujiunga na chama kingine ni jambo la kawaida sana katika siasa.

Duniani kote wanasiasa huyumba hufuata upepo wa kisiasa. ikiwa upepo utaonesha chama fulani kina mvuto, basi wengi watajiunga, lakini upepo huo wa kisiasa ukisimama au kubadili uelekeo nao pia hubadilika.

upepo wa kisiasa kuwakumba wanasiasa vibaraka, vigeugeu na wasaliti ambao ni rahisi kurubuniwa au kuhongwa na vyama nyenye ukwasi. Vibaraka huwa hawana msimamo, wao hufuata mkumbo au watu ila wenye msimamo hufuata sera za chama.

Ndiyo maana hatushangai hiki kinachoonekana katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa baadhi ya wanachama kujiondoa na kujiunga na CCM. Kati ya mwaka 2010 na 2012 tena baada ya CCM kupata ushindi mnono, tulishuhudia mamia kwa maelfu ya wanasiasa wakihama na kujiunga na CHADEMA.

Tulidhani, wakati ule walikuwa wanafuata sera za chama hicho, lakini baada ya kuzuka usaliti ndani ya chama na wasaliti kuondolewa tumeshuhudia watu wakihama CHADEMA na kujiunga na CCM.

Hiyo ni haki yao ya kidemokrasia lakini hali ilivyo inaelekea CHADEMA ilikuwa imebeba mamluki, wasaliti na vibaraka. Maana kama si vibaraka inakuwaje kusimamishwa (Sio kufukuzwa) viongozi watatu kuibue wimbi la wanachama kujitoa na kujiunga na CCM?

Je, viongozi hao wakikiri makosa wakasamehewa na kurejeshewa vyeo hao waliojiunga na CCM watarudi tena CHADEMA? Haiwezekani siyo?

Kama si vibaraka ni nani? kwa nini waliohama wanatoa matamko ya kuzuia ziara za mikoani zilizoandaliwa na viongozi na viongozi wa CHADEMA makao makuu wakati hawahusiki?

Kama si vibaraka ni nani? kwa nini waliohama wanatoa matamko ya kuzuia ziara zinazoandaliwa na viongozi wa CHADEMA makao makuu wakati hawahusiki?

Kama si vibaraka kwa nini waliohama wako mstari wa mbele kuandamana na kutishia kuwadhuru viongozi wa chama kisichowahusu?

Kama CHADEMA kimekwisha hakina sera kwa nini waliohama wanavamia na kuchoma ofisi za chama kilichokwisha?

Mwanachama anayejua anachosimamia hawezi kuwa mgomvi, kuanzisha vurugu kufanya hujuma kama kuchoma ofisi. hujuma hizi zinawafunua kuwa wao ni vibaraka.

CHANZO: Mawio Uk 6.
 
Kamanda watu hawa wamechanganyika na viongozi wahuni wa CCM ambao wanadhani kupona kwa CCM ni kuivuruga CDM na kuchochea ugomvi. Nyerere akifufuka leo ataishangaa CCM aliyoiasisi sasa imefilisika na kubaki kama fisi anayevizia mkono wa mwanadamu akidhani utaanguka wakati wowote. Yaani viongozi wote wa CCM wamebakiwa na karata moja ya kufadhili maasi katika vyama vya upinzani na kusahau kazi yao inayowakilishwa na nembo yao ya jembe na nyundo. sasa wamebaki kuwa wapika majungu, wauza unga, wabakaji, magaidi, wadini, mafisadi, wauaji na kila aina ya madhambi. wameinyonya nchi na kuibakiza marapurapu na kuongeza umasikini badala ya neema waliyoahidi, Laana ya Mungu inawangojea
 

Tangu kale katabia ka wanasiasa kuhama chama kimoja na kujiunga na chama kingine ni jambo la kawaida sana katika siasa.

Duniani kote wanasiasa huyumba hufuata upepo wa kisiasa. ikiwa upepo utaonesha chama fulani kina mvuto, basi wengi watajiunga, lakini upepo huo wa kisiasa ukisimama au kubadili uelekeo nao pia hubadilika.

upepo wa kisiasa kuwakumba wanasiasa vibaraka, vigeugeu na wasaliti ambao ni rahisi kurubuniwa au kuhongwa na vyama nyenye ukwasi. Vibaraka huwa hawana msimamo, wao hufuata mkumbo au watu ila wenye msimamo hufuata sera za chama.

Ndiyo maana hatushangai hiki kinachoonekana katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa baadhi ya wanachama kujiondoa na kujiunga na CCM. Kati ya mwaka 2010 na 2012 tena baada ya CCM kupata ushindi mnono, tulishuhudia mamia kwa maelfu ya wanasiasa wakihama na kujiunga na CHADEMA.

Tulidhani, wakati ule walikuwa wanafuata sera za chama hicho, lakini baada ya kuzuka usaliti ndani ya chama na wasaliti kuondolewa tumeshuhudia watu wakihama CHADEMA na kujiunga na CCM.

Hiyo ni haki yao ya kidemokrasia lakini hali ilivyo inaelekea CHADEMA ilikuwa imebeba mamluki, wasaliti na vibaraka. Maana kama si vibaraka inakuwaje kusimamishwa (Sio kufukuzwa) viongozi watatu kuibue wimbi la wanachama kujitoa na kujiunga na CCM?

Je, viongozi hao wakikiri makosa wakasamehewa na kurejeshewa vyeo hao waliojiunga na CCM watarudi tena CHADEMA? Haiwezekani siyo?

Kama si vibaraka ni nani? kwa nini waliohama wanatoa matamko ya kuzuia ziara za mikoani zilizoandaliwa na viongozi na viongozi wa CHADEMA makao makuu wakati hawahusiki?

Kama si vibaraka ni nani? kwa nini waliohama wanatoa matamko ya kuzuia ziara zinazoandaliwa na viongozi wa CHADEMA makao makuu wakati hawahusiki?

Kama si vibaraka kwa nini waliohama wako mstari wa mbele kuandamana na kutishia kuwadhuru viongozi wa chama kisichowahusu?

Kama CHADEMA kimekwisha hakina sera kwa nini waliohama wanavamia na kuchoma ofisi za chama kilichokwisha?

Mwanachama anayejua anachosimamia hawezi kuwa mgomvi, kuanzisha vurugu kufanya hujuma kama kuchoma ofisi. hujuma hizi zinawafunua kuwa wao ni vibaraka.

CHANZO: Mawio Uk 6.




Naam, na MATATIZO yoote tuliyonayo ni TUME YA UCHAGUZI; Ni kwanini TUME HIYO BADO inafuata Maangalizi na Mienendo ya JINSI chama CHA MAPINDUZI kinavyopata wagombea wake wa URAIS na UBUNGE ? Kweli hii ni DEMOKRASIA ya UKWELI?

Ni kwanini huu ni Uchaguzi wa 4 au wa 5 bado TUME ya UCHAGUZI inafuata MIONGOZO ya CHAMA CHA MAPINDUZI jinsi ya kuteua VIONGOZI wa nchi wa baadaye?Sio kila Mwananchi Mwanademokrasia anawapenda hao VIONGOZI wa VYAMA ndani ya VYAMA VYAO… Hao kuwa Wenyeviti sio KIBALI CHA KUGOMBEA URAIS NDANI ya Vyama HIVYO...

Sasa ni kwanini TUME YA UCHAGUZI inalipwa haiwezi kuweka NJIA BORA ya KIDEMOKRASIA ambayo itafuatwa na VYAMA VYOTE vya KISIASA JINSI ya KUMPATA MGOMBEA URAIS toka kwa VYAMA HIVYO?

HII ya sasa hivi sio DEMOKRASIA sababu tunafuata mantiki za KI-COMMUNIST One LEADER one VOTE...

Kwanini tusiwe na SYSTEM kama ya MAREKANI au UINGEREZA ? NCHI YETU NI SALAMA… na badala ya kutumia FEDHA za WALIPAKODI kuanzisha UKABILA;UDINI;UKANDA ndani ya hivyo vyama au KUTEUA Rais kiuzandiki jinsi ya kupata Wenyeviti ndani ya CHAMA…

Mfano itakuwa kama Uchaguzi ni 2015 basi kuna MUDA vyama vya SIASA vitakuwa na MUDA wa MIEZI kuwatambulisha VIONGOZI wa VYAMA VYAO wanaotaka URAIS; Kama CHADEMA ina 5 au CCM ina 3… n.k

Basi, Wapeni Ulingo wao kwa Wananchama Wao na sio MIKUTANO YAO MIKUU KUWACHAGUA HAO MARAIS

Kwahiyo… mfano CHADEMA kitateua VIONGOZI 3 kugombea Urais; IWE SHERIA wakubali kwanza LIVE DEBATE kama 2 au 3 halafu wanakwenda kwa wanachama wao MIKOANI kuomba hizo KURA ? na vyote hivyo vitakuwa vinasimamiwa na TUME HURU yenye SHERIA DHABITI. ?

Sasa baada ya hapo then selected Winner from each party then wawe wagombea URAIS - NCHINI ?

HII ITAENDESHA DEMOKRASIA ya HAKI na BILA kulumbana ndani ya VYAMA VYA KISIASA...

*** SIDHANI kama WATATUELEZA kuwa GHARAMA ni KUBWA… yeah Demokrasia sio Masihara… ni bora kuokoa Maisha ya MWANADAMU kuleta DEMOKRASIA GHALI lakini ya kiuhalali; Kuliko KUFISADI hizo FEDHA na KUIGAWA na kuivuruga nchi wakati sasa ndio tuna GAS; URANIUM n.k kuendeleza NCHI YETU!!!!
 
Mchome wenyewe halafu kelele.muanze wenyewe!
Yaani mnatapatapa utafikiri kuku amekatwa kichwa.
Kifo ni 2015.
 
Kudos Mohamed Mtoi.

Si unaona hata hapa badala ya kujibu hoja watu tayari wana-discuss mtu.
 

Tangu kale katabia ka wanasiasa kuhama chama kimoja na kujiunga na chama kingine ni jambo la kawaida sana katika siasa.

Duniani kote wanasiasa huyumba hufuata upepo wa kisiasa. ikiwa upepo utaonesha chama fulani kina mvuto, basi wengi watajiunga, lakini upepo huo wa kisiasa ukisimama au kubadili uelekeo nao pia hubadilika.

upepo wa kisiasa kuwakumba wanasiasa vibaraka, vigeugeu na wasaliti ambao ni rahisi kurubuniwa au kuhongwa na vyama nyenye ukwasi. Vibaraka huwa hawana msimamo, wao hufuata mkumbo au watu ila wenye msimamo hufuata sera za chama.

Ndiyo maana hatushangai hiki kinachoonekana katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kwa baadhi ya wanachama kujiondoa na kujiunga na CCM. Kati ya mwaka 2010 na 2012 tena baada ya CCM kupata ushindi mnono, tulishuhudia mamia kwa maelfu ya wanasiasa wakihama na kujiunga na CHADEMA.

Tulidhani, wakati ule walikuwa wanafuata sera za chama hicho, lakini baada ya kuzuka usaliti ndani ya chama na wasaliti kuondolewa tumeshuhudia watu wakihama CHADEMA na kujiunga na CCM.

Hiyo ni haki yao ya kidemokrasia lakini hali ilivyo inaelekea CHADEMA ilikuwa imebeba mamluki, wasaliti na vibaraka. Maana kama si vibaraka inakuwaje kusimamishwa (Sio kufukuzwa) viongozi watatu kuibue wimbi la wanachama kujitoa na kujiunga na CCM?

Je, viongozi hao wakikiri makosa wakasamehewa na kurejeshewa vyeo hao waliojiunga na CCM watarudi tena CHADEMA? Haiwezekani siyo?

Kama si vibaraka ni nani? kwa nini waliohama wanatoa matamko ya kuzuia ziara za mikoani zilizoandaliwa na viongozi na viongozi wa CHADEMA makao makuu wakati hawahusiki?

Kama si vibaraka ni nani? kwa nini waliohama wanatoa matamko ya kuzuia ziara zinazoandaliwa na viongozi wa CHADEMA makao makuu wakati hawahusiki?

Kama si vibaraka kwa nini waliohama wako mstari wa mbele kuandamana na kutishia kuwadhuru viongozi wa chama kisichowahusu?

Kama CHADEMA kimekwisha hakina sera kwa nini waliohama wanavamia na kuchoma ofisi za chama kilichokwisha?

Mwanachama anayejua anachosimamia hawezi kuwa mgomvi, kuanzisha vurugu kufanya hujuma kama kuchoma ofisi. hujuma hizi zinawafunua kuwa wao ni vibaraka.

CHANZO: Mawio Uk 6.

mwambie lema aache kuandaa vijana wa kuchoma ofisi halafu asingizie watu wengine.
 
watu kama mtoi wanatakiwa kutandikwa bakola jamaa anaramba viatu vya wazee mpaka basi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom