sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
Enzi zile chadema ilivyokuwa CHADEMA, nlikuwa sehem ya kukishauri chama kijiimarishe katika maeneo matatu muhimu.
- Media (printing media, redio, tv, social networks)
- Umoja wa wanawake chadema
- umoja wa vijana chadema
Naomba leo nizungumzie tu Kwenye upande wa media zilionyeshwa changamoto nyingi kwanini chadema hakina chombo cha habari, nilizielewa changamoto hizo pengine watanielewa zaidi wale wenye kujua gharama za kumiliki media outlet kama redio au gazet au tv. Baada ya kuona chadema inahitaji subira katika hili, juhudi zilielekezwa katika "lobbing team" ndani ya media nchini, pia hamasa ikaelekezwa kwenye "social networks" ambapo designing yake ilikuwa na nia njema kujenga hoja na kupangua in short vijana wa chadema were supposed to be "arguments gladiators" na sio kupika na kurely much on propganda. John mnyika alikuwa mtu mwenye mikakati mingi, akizungumza unamuona kabisa the project was going to be real, nakumbuka hata pale ofisini ufipa kuna chumba kilitengwa kwa ajili ya chadema TV lakini sifaam what is going on since I ve left the party pengine bado ni sehemu ya kupigia story na kusomea magazeti as it was then.
Moja ya ombi kubwa ilikuwa ni kumpata afisa habari ambaye angekuwa talented, committed na ambaye atakuwa na uwezo wa ku counter attack propaganda kabla hazija sambaa beyond mile-stones. Katika watu waliokuwa wanategemewa kwa weledi (professionalism), usikivu, commitment, proactive na mwenye high degree of understanding was this guy mohamed Mtoi. Badala yake akaletwa Tumaini Makene, and the rumors has it jamaa kabebwa tuu ndio maana hata deliverance yake ipo too low.
Mtakubaliana na mimi kuwa kwa sasa afsa habari ya chadema imelala, nimetoka kwenye mihangaiko yangu naingia hapa JF na kwenye website ya chadema, hakuna any new feed, can you imagine?.
Its high time for chadema fans to loud their voice against this passive party information officer because ni disgrace kwa chama kinachotaka kuchukua dolla.
----------------------
----------------------
- Media (printing media, redio, tv, social networks)
- Umoja wa wanawake chadema
- umoja wa vijana chadema
Naomba leo nizungumzie tu Kwenye upande wa media zilionyeshwa changamoto nyingi kwanini chadema hakina chombo cha habari, nilizielewa changamoto hizo pengine watanielewa zaidi wale wenye kujua gharama za kumiliki media outlet kama redio au gazet au tv. Baada ya kuona chadema inahitaji subira katika hili, juhudi zilielekezwa katika "lobbing team" ndani ya media nchini, pia hamasa ikaelekezwa kwenye "social networks" ambapo designing yake ilikuwa na nia njema kujenga hoja na kupangua in short vijana wa chadema were supposed to be "arguments gladiators" na sio kupika na kurely much on propganda. John mnyika alikuwa mtu mwenye mikakati mingi, akizungumza unamuona kabisa the project was going to be real, nakumbuka hata pale ofisini ufipa kuna chumba kilitengwa kwa ajili ya chadema TV lakini sifaam what is going on since I ve left the party pengine bado ni sehemu ya kupigia story na kusomea magazeti as it was then.
Moja ya ombi kubwa ilikuwa ni kumpata afisa habari ambaye angekuwa talented, committed na ambaye atakuwa na uwezo wa ku counter attack propaganda kabla hazija sambaa beyond mile-stones. Katika watu waliokuwa wanategemewa kwa weledi (professionalism), usikivu, commitment, proactive na mwenye high degree of understanding was this guy mohamed Mtoi. Badala yake akaletwa Tumaini Makene, and the rumors has it jamaa kabebwa tuu ndio maana hata deliverance yake ipo too low.
Mtakubaliana na mimi kuwa kwa sasa afsa habari ya chadema imelala, nimetoka kwenye mihangaiko yangu naingia hapa JF na kwenye website ya chadema, hakuna any new feed, can you imagine?.
Its high time for chadema fans to loud their voice against this passive party information officer because ni disgrace kwa chama kinachotaka kuchukua dolla.
----------------------
----------------------
Wakuu
Tuangalie na kujadili mambo kama great thinkers na tusiwe washabikia mambo na kuweka ushabiki kila mahali.
Binafsi namkubali sana Tumaini Makene na naweza sema kuwa ni afisa habari bora kabisa kwa sasa kwenye hizi siasa za vyama vingi, ni mweledi na msomi wa kiwango cha juu kwenye tasnia ya habari.
Naamini kuwa nisingeweza kuvaa viatu vya makene na kama zingewekwa cv zetu Mimi na makene ingekuwa ukame wa maono Kwa Mimi kuchaguliwa na kuachwa Makene. By profession Makene ni mwanahabari Mimi sio mwanahabari, japo naandika makala lakini kuandika makala kwenye magazeti hakunifanyi kuwa mwanahabari chadema ikihitaji mwanahabari mwenye weledi wa aina ya Makene.
Tumuache Makene afanye kazi yake na tuheshimu team playing anayoifanya.
Last edited by a moderator: