assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
nimeona watu wengi either wanalalamika ama wanahisi kuonewa.
maoni yangu ni kuwa chadema haijifunzi.
hakuna chaguzi yoyote si hapa tanzania ulimwengu mzima lazm kuwe na sheria za uchaguzi na ndomana vyama vinavojielewa lazm kuwe na kurugenzi ya uchaguzi. kama hufati au hujui sheria sio kigezo kuwa ur not guilty.
sasa kumeripotiwa baadhi ya wagombea wa chadema waliowekewa pingamizi wengine hawajui kusoma,wengine wametumia mihuri binafsi badala ya mihuri ya chama,wengine wamejaza fomu kimakosa.
sheria ya uchaguzi kwa mbumbumbu wasiojua inaruhusu kuweka pingamizi si kwa mgombea tu ht kwenye daftari la kudumu amean mpiga kura
binafsi naona udhaifu wa kiungozi ndani ya chadema na ndipo nakumbuka akili kubwa km kina ZITO KUKOSEKANA.
MAPUNGUFU HAYA YASIPOFANYIWA KAZI UCHAGUZI MKUU IT WILL B THE SAME.
AKILI KUBWA VS AKILI NDOGO
maoni yangu ni kuwa chadema haijifunzi.
hakuna chaguzi yoyote si hapa tanzania ulimwengu mzima lazm kuwe na sheria za uchaguzi na ndomana vyama vinavojielewa lazm kuwe na kurugenzi ya uchaguzi. kama hufati au hujui sheria sio kigezo kuwa ur not guilty.
sasa kumeripotiwa baadhi ya wagombea wa chadema waliowekewa pingamizi wengine hawajui kusoma,wengine wametumia mihuri binafsi badala ya mihuri ya chama,wengine wamejaza fomu kimakosa.
sheria ya uchaguzi kwa mbumbumbu wasiojua inaruhusu kuweka pingamizi si kwa mgombea tu ht kwenye daftari la kudumu amean mpiga kura
binafsi naona udhaifu wa kiungozi ndani ya chadema na ndipo nakumbuka akili kubwa km kina ZITO KUKOSEKANA.
MAPUNGUFU HAYA YASIPOFANYIWA KAZI UCHAGUZI MKUU IT WILL B THE SAME.
AKILI KUBWA VS AKILI NDOGO