Na Chadema uhalali wakuwa chama kikuu cha upinzani ni upi kama hawafanyi shughuli zao kisheria.ACT wazalendo kwa sasa siyo chama cha upinzani ni tawi la CCM linalotekeleza ilani upande wa zanzibar!
Na Chadema uhalali wakuwa chama kikuu cha upinzani ni upi kama hawafanyi shughuli zao kisheria.ACT wazalendo kwa sasa siyo chama cha upinzani ni tawi la CCM linalotekeleza ilani upande wa zanzibar!
Yule Mkiti wa BAZECHA kesi ipoje.Sasa wapinzani wakiongea kweli mnawachukua na kuwaweka ndani na kuwasingizia kesi za ugaidi, endeleeni na rohombaya na chuki zenu huku mkilazimisha madaraka kwa nguvu
Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
Na hakuna mwana CCM aliyejisumbua kumuuliza wapinzani wanacheleweshaje maendeleo?Jiwe aliposema wapinzani wanatuchelewesha si mlimshangulia?
Walipata kura za Rais 13%CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo vipi? Unadhani wanavyokaa kimya wajinga?
Tope lenu mlikanyage wenyewe, mnataka waseme vipi? Wakisema mabwawa mnayofungulia maji mtaacha kufungulia kuchepusha maji?Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu kwani chadema ndo inakusanya kodi , Yani msindwe kutatua kero za wananchi, alafu mlazimishe chadema kutoa tamko,Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
Unataka Mheshimiwa Mnyika, atumie jukwaa lipi? Agenda ya CHADEMA ni kudai Tume huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Haya yakipatikana bila shaka taifa letu litaendeshwa vizuri. Na kila tamko litakalo tolewa na chama litaheshimika hadi serikalini.Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
uzembe mfanye ccm, halafu musubiri chadema ndio wazungumzie mgao wa umeme? walipokuwa wanawashauri si mlisema wanatumiwa na mabeberu wanaotuonea wivu?Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
Waseme halafu muwatungie kesi za ugaidi. Tuondolee upumbavu wako hapa.Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
Walikuwa wanacherewesha maendeoleo.Hilo ni jukumu la chama kikuu cha upinzani ndio maana wanapewa ruzuku!