johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Sijaona popote pale CHADEMA ambao ni chama kikuu cha upinzani kikizungumzia uwepo wa mgao wa maji na umeme.
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!
Wakati wa Dr Slaa maswala yote yanayoleta sintofahamu kwa wananchi yalihojiwa kwa haraka sana bila kujali kuna makundi ya Friends of Lowassa au Lindi kuchele ndani ya CCM.
Je, Chadema ya J J Mnyika imekengeuka na kuwasahau wananchi?
Maendeleo hayana vyama!