ha ha ha, huyu bibi hatoboi 2025, Mpango ajiandae huko aliko... tushaingia kazini tayari.Yaani hadharani unatangaza kutaka kumroga Rais wa nchi ?!!! Khaaa 😲🤣🤣🤣
ha ha ha, huyu bibi hatoboi 2025, Mpango ajiandae huko aliko... tushaingia kazini tayari.Yaani hadharani unatangaza kutaka kumroga Rais wa nchi ?!!! Khaaa 😲🤣🤣🤣
amemgaid maaa yako?mashetani nyie magaidi mnahangaika bure mbowe ni gaid mwacheni ale mvua hatutaki magaidi nchini
CCM huwa hainaga aibu ndugu... CDM imekuwa kikwazo kikubwa sana kwao kutawala kwa raha.
Chadema inazo taarifa zote muhimuMkuu Erythrocyte , hii inshu amini usiamini Hangaya amedhamilia kumpiga mvua za kutosha Mbowe!
Ikumbukwe TU kuwa hata Yohana Mbatizaji alihukumiwa kuuawa kwa kosa la kumkosoa mfalme!
Suala hili kiuanadamu Ni gumu kuliko linavyofikirika! Washauri wamwite mshauri wa ajabu aingilie Kati!
Mkuu, chanzo Cha haya mambo unafikir ni Ugaidi!!?KATIBA MPYA ni lazima kuondoa huu ujinga wa Jaji kuteuliwa na Rais.
Jaji anafanya maamuzi ya kisheria kwa maoni yake binafsi bila kutaja vifungu na anaamua kuondoka zake.
Ameshatetea ugali wake na sasa anaenda 'kumpanga' atakayeendeleza kijiti cha kuyumbisha Haki ya Mbowe na wenzake.
Thats why wanaipinga KATIBA MPYA kwa nguvu zao zote.Mkuu, chanzo Cha haya mambo unafikir ni Ugaidi!!?
Huo Ugaidi wa kumtrace kiongozi mmoja wa chama pinzani aliye tishio juu ya chama tawala alafu anakuja mtu mmoja HAMZA hawana hata habar nae mpaka anaua watu!!?
Inshu hapa Ni KATIBA MPYA, Sasa Kama kiongozi aliyekuwa na moyo wa kuamsha upatikanaji katiba mpya yaliyomkuta ndo haya , unategemea Nini??
Hiyo katiba itapatikana vipi??
Hangaya =Edgar Lungu, Ni suala la muda TU!
🤣🤣Chadema si watanzania wote mkubwa wangu.....Watanzania wote tudai katiba mpya
Yaani huyu Mwenyekiti wenu safari hii kapatikana hata ukimuangalia usoni anajutia alichokifanya. Tutaonana tena na mkae salamaHayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika kwenye viunga vya Mahakama kuu divisheni ya Uhujumu uchumi Mjini Dar es Salaam.
Wito wangu kwa Wanachama wa Chadema ni kuwa watulivu wakati viongozi wakitafakari hatua za kuchukua.
SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika kwenye viunga vya Mahakama kuu divisheni ya Uhujumu uchumi Mjini Dar es Salaam.
Wito wangu kwa Wanachama wa Chadema ni kuwa watulivu wakati viongozi wakitafakari hatua za kuchukua.
SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Mungu hayuko MIFUKONI mwenu....Na mshauri wa ajabu akiingiliaga kati ogopa sana kama una kibetri kinapiga shoti
CCM huwa hainaga aibu ndugu... CDM imekuwa kikwazo kikubwa sana kwao kutawala kwa raha.
Endelea kujifariji mkuu...Mkuu, chanzo Cha haya mambo unafikir ni Ugaidi!!?
Huo Ugaidi wa kumtrace kiongozi mmoja wa chama pinzani aliye tishio juu ya chama tawala alafu anakuja mtu mmoja HAMZA hawana hata habar nae mpaka anaua watu!!?
Inshu hapa Ni KATIBA MPYA, Sasa Kama kiongozi aliyekuwa na moyo wa kuamsha upatikanaji katiba mpya yaliyomkuta ndo haya , unategemea Nini??
Hiyo katiba itapatikana vipi??
Hangaya =Edgar Lungu, Ni suala la muda TU!
Ni tupingamizi tu tuwili tumetupiliwa mbali na Jaji sasa tufuasi tumefura tuvifua twao kama tunyoka tukobokoHukumu yaleo imetolewaje mana naona blah! blah! blah! Vipi kuna mtu kafungwa au kaachiwa
Huyu jaji wa Mkakati na hata ile promotion yake ilikuwa ya kimkakati pia(rushwa)Sikuwa na matumaini na Siyani. Nilijua kuwa na huyu ni shetani kama mashetani wengine. Hii kesi ndogo hata hakimu wa mahakama ya Mwanzo angeliweza kutoa hukumu ya haki
Nimemkumbuka Hamza piaRest In Peace Hamza.
Wataondoka wao wataiacha CHADEMAMkuu Erythrocyte , hii inshu amini usiamini Hangaya amedhamilia kumpiga mvua za kutosha Mbowe!
Ikumbukwe TU kuwa hata Yohana Mbatizaji alihukumiwa kuuawa kwa kosa la kumkosoa mfalme!
Suala hili kiuanadamu Ni gumu kuliko linavyofikirika! Washauri wamwite mshauri wa ajabu aingilie Kati!
Rais akisema katiba mpya ianze kushughulikiwa usivyo na akili utakuja hapa kusifia🤣🤣Chadema si watanzania wote mkubwa wangu.....
Iliyopo inatosha na ni katiba bora kabisa....