CHADEMA haifai kuwa ni Chama Cha Siasa

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

Kwa muda huu Chadema inapuliza vuvuzela la machafuko Tanzania nzima ,kwa kuwa tu imepigwa bao la kisigino na kuachwa kwenye mataa.Nionavyo na mawazo yangu mgando ni bora chama hiki kifungwe au kiondoke kwenye medani za siasa na kuingia misituni kiendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na sio kutumia siasa kama jukwaa la kuiondoa CCM kwani haitofanikiwa milele.

Mimi nilipowaona wanang'ang'ania kuvaa magwanda ya kijeshi nilijua tu kuwa hawa sio wanasiasa aidha watakuwa na lengo lingine kabisa ambalo leo hii limeanza kuota kama uyoga.Maguo yale ya kijeshi hutumika kwenye vita kwa kuvaliwa na viongozi waandamizi ambao huwa ni wazamiaji wa shughuli za kuendeleza mapambano na Chadema walianza zamani kuwavaa viongozi wa serikali za Tz zilizopita kwa kuwakosoa na kuwaweka katika hali ngumu na hata kupelekea mabadiliko ya serikali katika ngazi za uwaziri.

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.

Una akili chafu na maarifa yamekupiga chenga kama kweli wewe ni mzalendo halisi utajipanga kwa hoja na sio kwenda msituni unaenda msituni kufanya nini wakati ushindi ulikuwa wa wazi watu wanatakiwa kudai ushindi mchana kweupe na sio kiwoga na kukimbilia msituni
MTAJI WA CHADEMA NI WATU WALIOKO MITAANI NA SIYO MSITUNI
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

ra mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.
Katika red, ya kwanza inadhihirisha wazi kuwa wewe ni mtaji mkubwa wa CCM, na hivyo kufanya kazi ya kuikomboa Tanzania kuwa si rahisi...! Lakini pia kwa kuwa umeonesha mwenyewe kuwa unjitambua kuwa hivyo, na kwa jinsi ninavyojua ilivyo kazi ngumu kumwelewesha asiyetaka kuelewa, basi sina muda wa kubishana nawe maana ni sawa na kupoteza muda....!

Katika red, ya pili inatuonesha jinsi ulivyo shetani au sumu wa jamii ya Tanzania kwa ujumla....! Kwa hili nakushauri ujaribu kufuatilia kampeni za uchaguzi uliopita, na umsikilize JK kule Songea na Dr. Slaa akiwa kwenye mdahalo pale MOVEN PICK, Dar es Salaam...! Naamini huenda ukajua unakoelekea, japo najua ni kazi ngumu sana kwa mujibu wa aya hiyo hapo juu....! Vinginevyo, nakuachia Mungu kwa hayo yote....!
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

nje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.

CCM chama cha familia ya mwenyekiti. CCM huwa inaogopa nini mpaka isiruhusu hata wanavyuo kupiga kura kama iko imara!!!! ha ha ha ha.
 
CHADEMA NI WEHU. kwanza huyo Slaa mwenyewe ana hasira kama nini. hivi yule angechukua urais si kuna siku watu tungechapwa viboko nchi nzima. kwanza hajui mahusiano na watu.
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

Kwa muda huu Chadema inapuliza vuvuzela la machafuko Tanzania nzima ,kwa kuwa tu imepigwa bao la kisigino na kuachwa kwenye mataa.Nionavyo na mawazo yangu mgando ni bora chama hiki kifungwe au kiondoke kwenye medani za siasa na kuingia misituni kiendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na sio kutumia siasa kama jukwaa la kuiondoa CCM kwani haitofanikiwa milele.

Mimi nilipowaona wanang'ang'ania kuvaa magwanda ya kijeshi nilijua tu kuwa hawa sio wanasiasa aidha watakuwa na lengo lingine kabisa ambalo leo hii limeanza kuota kama uyoga.Maguo yale ya kijeshi hutumika kwenye vita kwa kuvaliwa na viongozi waandamizi ambao huwa ni wazamiaji wa shughuli za kuendeleza mapambano na Chadema walianza zamani kuwavaa viongozi wa serikali za Tz zilizopita kwa kuwakosoa na kuwaweka katika hali ngumu na hata kupelekea mabadiliko ya serikali katika ngazi za uwaziri.

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.

Hukukosea kama ulivyoainisha hilo Neno lenye Rangi Red! CHADEMA :whoo:
 
CUF bana...baada ya kupewa tende na halua huko zanzibar sasa mmeanza kuleta sumu maeneo mengine!!
 
CHADEMA NI WEHU. kwanza huyo Slaa mwenyewe ana hasira kama nini. hivi yule angechukua urais si kuna siku watu tungechapwa viboko nchi nzima. kwanza hajui mahusiano na watu.

HAkuna mwehu kama mwizi wa Richmond, EPA, MEREMETA!! N.K. KAma ungekuwa unakerwa na wizi huu ungekuwa japo na hisia za hasira. labda kama ni mshirika wa wizi huo>>
 
CHADEMA NI WEHU. kwanza huyo Slaa mwenyewe ana hasira kama nini. hivi yule angechukua urais si kuna siku watu tungechapwa viboko nchi nzima. kwanza hajui mahusiano na watu.

Dr.Slaa anahasira na wewe ambae bado unalalia Kitanda cha TEMBE na Choo Cha Passportsize! Amka CHADEMA :whoo:
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

Kwa muda huu Chadema inapuliza vuvuzela la machafuko Tanzania nzima ,kwa kuwa tu imepigwa bao la kisigino na kuachwa kwenye mataa.Nionavyo na mawazo yangu mgando ni bora chama hiki kifungwe au kiondoke kwenye medani za siasa na kuingia misituni kiendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na sio kutumia siasa kama jukwaa la kuiondoa CCM kwani haitofanikiwa milele.

Mimi nilipowaona wanang'ang'ania kuvaa magwanda ya kijeshi nilijua tu kuwa hawa sio wanasiasa aidha watakuwa na lengo lingine kabisa ambalo leo hii limeanza kuota kama uyoga.Maguo yale ya kijeshi hutumika kwenye vita kwa kuvaliwa na viongozi waandamizi ambao huwa ni wazamiaji wa shughuli za kuendeleza mapambano na Chadema walianza zamani kuwavaa viongozi wa serikali za Tz zilizopita kwa kuwakosoa na kuwaweka katika hali ngumu na hata kupelekea mabadiliko ya serikali katika ngazi za uwaziri.

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.
Baada yakusoma hiyo red nimeona hakuna haja yakujadili lolote usemalo. Kwaheri
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

Kwa muda huu Chadema inapuliza vuvuzela la machafuko Tanzania nzima ,kwa kuwa tu imepigwa bao la kisigino na kuachwa kwenye mataa.Nionavyo na mawazo yangu mgando ni bora chama hiki kifungwe au kiondoke kwenye medani za siasa na kuingia misituni kiendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na sio kutumia siasa kama jukwaa la kuiondoa CCM kwani haitofanikiwa milele.

Mimi nilipowaona wanang'ang'ania kuvaa magwanda ya kijeshi nilijua tu kuwa hawa sio wanasiasa aidha watakuwa na lengo lingine kabisa ambalo leo hii limeanza kuota kama uyoga.Maguo yale ya kijeshi hutumika kwenye vita kwa kuvaliwa na viongozi waandamizi ambao huwa ni wazamiaji wa shughuli za kuendeleza mapambano na Chadema walianza zamani kuwavaa viongozi wa serikali za Tz zilizopita kwa kuwakosoa na kuwaweka katika hali ngumu na hata kupelekea mabadiliko ya serikali katika ngazi za uwaziri.

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.
Umeanza kauli yako katika hali ya kuonyesha unajali sana amani ya nchi, lakini umemalizia na uchochezi mkubwa wa kuitaka CHADEMA iingie mstuni, ikienda huko msituni itakuwa inampiga risasi nani? Kikwete au wananchi wa kawaida wasio na hatia? Mbona uwezo wetu wa kufikiria wakati mwingine unakuwa na utata kiasi hiki? Mtaji wa CHADEMA ni wananchi maskini ambao ndiyo wapiga kura, sasa kikiingia msituni kuwapiga risasi kitaungwa mkono na nani?

kwa upande mwingine, ninakufahamu wewe Mwiba, kwa muda mrefu kama mshabiki wa CUF hasa ile ya upande wa Zanzibar. Kinachonisahangaza, ni kwanini umeona kwamba CHADEMA ndo wanatakiwa kwenda msituni na si CUF ambayo tangu 1995 imekuwa ikishinda Zanzibar lakini haipewi nafasi ya kuongoza? Huoni kama ushauri huo ulikuwa unaifaa sana CUF, ambao waliwahi kuwa na kauli mbiu ya mapanga shaa?

Umetukosea sana CHADEMA, tafadhari tuombe radhi. Sisi hatukuwahi kuwa na mwelekeo huo wa kuleta vita.
 
CHADEMA - CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO
Hata kama kingekuwa sio chama cha wachaga,walichemsha kwa Padri Slaa.Alilisaliti kanisa,akaiba mke wa mtu,ana hasira,ni msema hovyo.hafaiiiii
 
Kuna mdau mmoja alisema kuwa Tanzania inahitaji kiongozi Dikteta anayejua shida ya Watanzania
na mwenye dhamira ya kweli kuwakomboa. Mara nyingine ni bora viboko vitembee kwa maslahi ya nchi na watanzania
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

Kwa muda huu Chadema inapuliza vuvuzela la machafuko Tanzania nzima ,kwa kuwa tu imepigwa bao la kisigino na kuachwa kwenye mataa.Nionavyo na mawazo yangu mgando ni bora chama hiki kifungwe au kiondoke kwenye medani za siasa na kuingia misituni kiendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na sio kutumia siasa kama jukwaa la kuiondoa CCM kwani haitofanikiwa milele.

Mimi nilipowaona wanang'ang'ania kuvaa magwanda ya kijeshi nilijua tu kuwa hawa sio wanasiasa aidha watakuwa na lengo lingine kabisa ambalo leo hii limeanza kuota kama uyoga.Maguo yale ya kijeshi hutumika kwenye vita kwa kuvaliwa na viongozi waandamizi ambao huwa ni wazamiaji wa shughuli za kuendeleza mapambano na Chadema walianza zamani kuwavaa viongozi wa serikali za Tz zilizopita kwa kuwakosoa na kuwaweka katika hali ngumu na hata kupelekea mabadiliko ya serikali katika ngazi za uwaziri.

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.

Sasaa kumbe unajua mawazo yako ni mgando, then unataka tuchangie hoja yako?
 
Ndallo,
Ni kweli hujakosea. Slaa hawezi kucheka wakati ndugu zake miaka 50 baada ya uhuru wanalilia ngozi wakati wachakachuaji wanalalia vono na wanaishi kwenye maghorofa bei mbaya kwa fedha za kiufisadi na uwizi. slaa hawezi kucheka wakati wananchi walio wengi wanaishi hawana uhakika wa mlo wao wa siku. Anayecheka ni yule tu anayesaza bila kugharimia kwa jasho lako au ananufaika kwa migongo ya Mafisadi na mfumo mbovu. Slaa hawezi kucheka wakati kwa dhahiri kabisa wachakachuaji kwa makusudi wanapiga mabomu wananchi wake wanaotaka kuchagua viongozi wao kidemokrasia kama inavyotokea jana na leo kule Buseresere Chato na kwingineko kunakofanyika kesho uchaguzi wa Madiwani, uchaguzi ambao hata sababu za kuahirishwa ni kiinimacho. Anayechekelea hali hiyo ni yule ambaye ni mbumbumbu na shabiki tu wa mambo asiyejua kinachoendelea katika nchi yake au kwa makusudi tu kwa sababu ya kiushabiki au kiulaji hataki kuelewa kuwa mambo siyo sawa. Ningeweza kuendelea zaidi na zaidi. Tucheke panapostahili kucheka, tufurahi palipo na sababu ya kufurahi. Lakini tuwe na "Hasira kali" kwa ajili ya ukombozi wa nchi yetu. Ukombozi kwa dhana yake ni lazima uendane na hasira isipokuwa kwa wale wasiojua maana ya ukombozi au mchakato wa ukombozi. Hao ni wa kusamehewa bure wala msiwatukane kwa sababu tunawajibu wa kuwakomboa na wao pia.

Dr.Slaa anahasira na wewe ambae bado unalalia Kitanda cha TEMBE na Choo Cha Passportsize! Amka CHADEMA :whoo:
 
CHADEMA - CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO
Hata kama kingekuwa sio chama cha wachaga,walichemsha kwa Padri Slaa.Alilisaliti kanisa,akaiba mke wa mtu,ana hasira,ni msema hovyo.hafaiiiii
Propaganda za kijinga kabisa na zilizopitwa na wakati kaa endekeza mambo ya ukabila na kidini ukidhani ndio maendeleo ya nchi we mpuuzi kabisa hakuna atakeyedanganyika CDM ni chama cha wananchi ngoja kidogo utaona cheche zake muda si mrefu
 
CHADEMA si kama CUF kwamba watanunuliwa kwa Tende na Alua. Chadema ni nguvu ya Umma na wakati unakaribia.
 
Ndallo,
Ni kweli hujakosea. Slaa hawezi kucheka wakati ndugu zake miaka 50 baada ya uhuru wanalilia ngozi wakati wachakachuaji wanalalia vono na wanaishi kwenye maghorofa bei mbaya kwa fedha za kiufisadi na uwizi. slaa hawezi kucheka wakati wananchi walio wengi wanaishi hawana uhakika wa mlo wao wa siku. Anayecheka ni yule tu anayesaza bila kugharimia kwa jasho lako au ananufaika kwa migongo ya Mafisadi na mfumo mbovu. Slaa hawezi kucheka wakati kwa dhahiri kabisa wachakachuaji kwa makusudi wanapiga mabomu wananchi wake wanaotaka kuchagua viongozi wao kidemokrasia kama inavyotokea jana na leo kule Buseresere Chato na kwingineko kunakofanyika kesho uchaguzi wa Madiwani, uchaguzi ambao hata sababu za kuahirishwa ni kiinimacho. Anayechekelea hali hiyo ni yule ambaye ni mbumbumbu na shabiki tu wa mambo asiyejua kinachoendelea katika nchi yake au kwa makusudi tu kwa sababu ya kiushabiki au kiulaji hataki kuelewa kuwa mambo siyo sawa. Ningeweza kuendelea zaidi na zaidi. Tucheke panapostahili kucheka, tufurahi palipo na sababu ya kufurahi. Lakini tuwe na "Hasira kali" kwa ajili ya ukombozi wa nchi yetu. Ukombozi kwa dhana yake ni lazima uendane na hasira isipokuwa kwa wale wasiojua maana ya ukombozi au mchakato wa ukombozi. Hao ni wa kusamehewa bure wala msiwatukane kwa sababu tunawajibu wa kuwakomboa na wao pia.

Asante dr wa ukweli umesema kila kitu wala sina cha kuongeza, tatizo wadanganyika walowengi wamefumbwa macho na hawawezi kuona hata kidogo na huu ndo unakuwa mtaji wa mafisadi. Most of our people have been brainwashed na kamwe nchi hii haitaendelea as long as ccm wako madarakani. Ni kikundi kidogo cha watu ambao hawataki kamwe keki yetu tule wote bali wafaidi wao na familia zao!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom