CHADEMA furahieni kupoteza umeya wa jiji la Mwanza, ni bahati sana kwenu

Naona Chadema wameamua kujifariji na kujiliwaza wenyewe kwa wenyewe...toka lini ushindwe halafu ufurahie.
 
Mtoa hoja jitahidi uwe objective, hayo mataizo yamekuwepo tangu CDM wakishiklia umeya hivyo wangejitoa Kama wanachosema ni kweli vinginevyo wangepigana kubadilisha hali hiyo na ndicho tulichotegemea sisi wapigakura wa mwanza. Kuyasema hayo baada ya kushindwa NO!!!. Issue napa ni kwamba CDM imeshindwa uchaguzi tafakari jipangeni this is a loss to the party. Hayo mengine ni story tu za sizitaki mbichi, Slaa aloe da kufanya nini Kama mlishaona hivyo?! Be cautious Mwanza is going
 
Hakuna kitu kama hicho ndio maana hata kamati kuu ikawafukuza kwa lolote limetokea kuliko kukaa na nyoka ndani.

Big up cdm
Mtoa uzi laiti Dr Slaa angejua unapatikana wapi angekufuata akunyanganye na kadi yenyewe ya CDM.
 
Ok mkuu ila cdm walistail kuonyesha kwa wananchi kuwa serikali inakwaza maendeleo katika utendaji wao............ but hii iwe kichocheo kwa cdm kuendelea kuchagua watu ambao ni competent kila eneo
 
kwa kitendo chenu cha kuweka madaraka pembeni na kuweka nidhamu kwanza mmeonyesha mfano mzuri wa
kuigwa siyo ndani ya Tanzania bali hata africa nzima. hongereni kwa kutafuna mfupa uliomshinda fisi(CCM) pamoja na kuwa ni chama tawala kikiwa kinashikirianafasi mbalimbali ndani ya Nchi na kina miaka zaidi ya 30 toka kuanzishwa kwake lakini kimeendelea kukumbatia majambazi kwa ajili ya kuweka madaraka mbele. tumejionea wakishindwa kuwatimua na kuwachukulia hatua hata
viongozi wabunge na mawaziri wala rushwa na wengine wakipandishwa na vyeo hata baada ya kupata kashfa chungu nzima za kuwaibia wananchi mfano mzuri ni chenge,Lowassa,vullu, beth machangu, mke wa sitta, Rostam ........

kinachonifanya niwavulie kofia ni mlikuwa na uwezo wa kuendelea kushikilia umeya kwa kukubali kukumbatia uozo kama CCM inavyofanya ambayo imechangia kurudisha nchi nyuma lakini nawapeni hongera sana kwa kuchagua discipline kwanza kwa maslahi ya nchi badala ya nafasi ya umeya. mmeonyesha mfano mzuri wa kuwa mchezaji hata ukiwa mzuri kiasi gani kama huna nidhamu hufai, uongozi wa namna hii ktk vyama vya siasa ni mchache sana siyo Tanzania hata bara la africa.
 
Hakuna ubishi kuhusu hili mkuu, nidhamu kwanza mambo mengine baadae!!

Na hilo ndilo limekuwa gumu kwa viongozi taifa hili ktk miaka takribani 20!! Kutaka kusitiriana na kulindana kwa maslahi ya uongozi na chama!! Uadilifu na nidhamu ni vitu vilivopotezwa na haviwezi kurejea kama hakuna atakayetaka kupata hasara kwanza. The opposite of "Bora lawama kuliko hasara".

Ipo siku walichofanya CDM Mwanza na Arusha kitaeleweka kwa Tanzania. Itakuja siku wasiokuwa na nidhamu na maadili watapelekwa mahakamani na kupata haki yao huko. Huu ndio mwanzo wa kumpeleka mwizi jela!! Hizi mambo za EPA, Radar, Richmond/Dowans kukosa wanaoshitakiwa inatokana na dhana mbaya ya kutaka kutokiletea CCM madhila na hasara!! Taifa linaangamia.

Bravo CDM!! This is the difference people want to see!!

Warming: I am apolitical, I support no political establishment. I am just being objective here!!
 
kwa kitendo chenu cha kuweka madaraka pembeni na kuweka nidhamu kwanza mmeonyesha mfano mzuri wa
kuigwa siyo ndani ya Tanzania bali hata africa nzima. hongereni kwa kutafuna mfupa uliomshinda fisi(CCM) pamoja na kuwa ni chama tawala kikiwa kinashikirianafasi mbalimbali ndani ya Nchi na kina miaka zaidi ya 30 toka kuanzishwa kwake lakini kimeendelea kukumbatia majambazi kwa ajili ya kuweka madaraka mbele. tumejionea wakishindwa kuwatimua na kuwachukulia hatua hata
viongozi wabunge na mawaziri wala rushwa na wengine wakipandishwa na vyeo hata baada ya kupata kashfa chungu nzima za kuwaibia wananchi mfano mzuri ni chenge,Lowassa,vullu, beth machangu, mke wa sitta, Rostam ........

kinachonifanya niwavulie kofia ni mlikuwa na uwezo wa kuendelea kushikilia umeya kwa kukubali kukumbatia uozo kama CCM inavyofanya ambayo imechangia kurudisha nchi nyuma lakini nawapeni hongera sana kwa kuchagua discipline kwanza kwa maslahi ya nchi badala ya nafasi ya umeya. mmeonyesha mfano mzuri wa kuwa mchezaji hata ukiwa mzuri kiasi gani kama huna nidhamu hufai, uongozi wa namna hii ktk vyama vya siasa ni mchache sana siyo Tanzania hata bara la africa.
Kwa leo hili nalo ni neno la mtu mwenye fikra mtambuka, wengi hawaelewi. Dr alijua kuna uwezekano wa kupoteza umea, lakini nidhamu kwanza. Tukianza vibaya katika hili CDM haitakuwa na sababu ya kuchukua nchi. Big up CDM.
 
Nidhamu ni kitu cha kwanza kabisa,Chama cha magamba hawawezi kumaintain nidham katka chama chao.THEY CANNOT walk the talk.CDM kuna watu waliofundishwa nidhamu na wakaielewa,mfano daktari Slaa alikuwa padri.Huwezi kuwa padri kama hauna nidhamu ndo maana hana mchezo na masuala ya nidham ndani ya chama
 
siku moja nilikuwa naangalia TV wkt wa bunge nilitamani kulia machozi niliposikia mbunge mzima wa ccm akisema kuwa lilikuwa ni kosa kwa Bunge kuunda tume ya mwakyembe ya kuchunguza richmond kwani imekiabisha chama(CCM) ina maana kiumbe kama huyu hafai kuwa mbunge kwani ameweka mbele maslahi ya chama badala ya nchi yake.

chadema inabidi mtembee kifua mbele na tukio la mwanza mlichukulie kama BADGE OF HONOR Kwamba hamtakubali kukumbatia wezi, wavivu, viongozi wasio na maadili kwa kuogopa vyeo vyao bali kuwashugulikia bila kujali vyeo vyao na mfano mzuri ni Mwanza na kwy harakati zote za M4C litajwe kama mfano hai wa kuweka mbele nidhamu badala ya wadhifa.
 
Mwanzo wa CDM kuwa imara.
1.Kauli za zitto
2.Kupoteza umeya mwanza
Mtake msitake tatizo si Mh zitto kutanganza kuwania urais 2015 laaa.Tatizo kuwa Mh ZITTO alikuwa hana cha kwa waambia watu walioudhulia mkutano huwo.Swali langu je walioandaa mkutano ndo lilikuwa lengo la kumwalika zitto pale.? Amini na usiamini Mh ZITTO anakwenda kama kinyonga.Kauli hizi zinaweza kuwa zinamsaidia au azimsaidiii huko twendako. Nanukuu msemo wa Marehemu BA,WA TAIFA JK.(Nyumba isipokuwa na msingi IMARA ikikumbwa na dhoruba itapata nyufa zinaweza kuwa kubwa au kidogo) Fikiri
 
The Chadema leadership by now should know that Zitto is a Mole planted by chama cha magamba to destabilize the party as we approach the 2015 general elections!! The sooner the party deals with his political shenanigans the better for its stability and prosperity.
 
siku moja nilikuwa naangalia TV wkt wa bunge nilitamani kulia machozi niliposikia mbunge mzima wa ccm akisema kuwa lilikuwa ni kosa kwa Bunge kuunda tume ya mwakyembe ya kuchunguza richmond kwani imekiabisha chama(CCM) ina maana kiumbe kama huyu hafai kuwa mbunge kwani ameweka mbele maslahi ya chama badala ya nchi yake.

chadema inabidi mtembee kifua mbele na tukio la mwanza mlichukulie kama BADGE OF HONOR Kwamba hamtakubali kukumbatia wezi, wavivu, viongozi wasio na maadili kwa kuogopa vyeo vyao bali kuwashugulikia bila kujali vyeo vyao na mfano mzuri ni Mwanza na kwy harakati zote za M4C litajwe kama mfano hai wa kuweka mbele nidhamu badala ya wadhifa.
Wanatumia kanuni ya idadi ya bora madiwani na bora meya. CCM hovyo kabisa.
 
Hiki walichokifanya CDMA ndio kimewashinda CCM na ndicho kimelifikisha taifa hili hapa tulipo no maadili no dira ni ulafi tu kwa Kwenda mbele, bandari, tanesco, bot, traffic, mahakamani, customs, immigration, polisi, serikari za mitaa na kuu, kila mahali na hakuna dalili ya kubadilika. CDMA ndio the only future of this country if we want to make a turn of what CCM is doing!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom