THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Salaam,,
Mwisho wa wiki hii iliyoishia jana nilibahatika kutembelea kanda ya kusini nikimaanisha Lindi na Mtwara,,nilienda kikazi tokea wiki iliyopita na kunilazimu kutumia muda wangu wa weekend kuzunguka baadhi ya maeneo ya mkoa na wilaya za Mtwara. CHADEMA mmejitahid sana kujenga chama na uelewa kwa wananchi walio wengi wazee, vijana hadi wanawake.
Nimefika Newala jimbo la waziri Mkuchika , hali ni mbaya sana hana matumaini ya kuweza kutetea kiti kile na wananchi wameichoka nakupoteza tumaini moja kwa moja na chama cha mapinduzi, nguvu ya CUF nayo imefifia ukifananisha na wilaya jirani ya Tandahimba.CHADEMA mna plani gani na jimbo lile la Newala??
Mimi nadhani fursa hii siyo ya kuilazia damu, changeni karata zenu vyema jimbo la Newala linahitaji ukombozi pia.
Mwisho wa wiki hii iliyoishia jana nilibahatika kutembelea kanda ya kusini nikimaanisha Lindi na Mtwara,,nilienda kikazi tokea wiki iliyopita na kunilazimu kutumia muda wangu wa weekend kuzunguka baadhi ya maeneo ya mkoa na wilaya za Mtwara. CHADEMA mmejitahid sana kujenga chama na uelewa kwa wananchi walio wengi wazee, vijana hadi wanawake.
Nimefika Newala jimbo la waziri Mkuchika , hali ni mbaya sana hana matumaini ya kuweza kutetea kiti kile na wananchi wameichoka nakupoteza tumaini moja kwa moja na chama cha mapinduzi, nguvu ya CUF nayo imefifia ukifananisha na wilaya jirani ya Tandahimba.CHADEMA mna plani gani na jimbo lile la Newala??
Mimi nadhani fursa hii siyo ya kuilazia damu, changeni karata zenu vyema jimbo la Newala linahitaji ukombozi pia.