Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 18,993
- 41,361
Chadema walikuwa vinara kuiponda tume ya uchaguzi ya Tanzania huku wakiisifia ya Kenya, ni kweli tume ya kenya imetupita mbali sana lakini tume huru sio kigezo cha kupata kiongozi.
Tume hiyo hiyo huru ya Kenya mliyokuwa mnaisifia wao kwa wao ndio waliopishana kuhusu mshindi wakati huo huo matokeo yanajulikana na kila Mkenya kuwa mshindi ni Ruto na sio Odinga.
Haiwezekani tume huru wao kwa wao wawe na makundi ndani yao wenyewe, kuna waliokuwa wanamuunga mkono Ruto aliyeshinda kwa haki na wengine walitaka Odinga atangazwe wakati wanajua kabisa hakushinda.
Haiwezekani makamu mwenyekiti apinge matokeo wakati huo huo mwenyekiti anataka kutoa matokeo ya uchaguzi.
Unaweza ukawa na tume huru lakini sio ya watu sahihi.
Tume hiyo hiyo huru ya Kenya mliyokuwa mnaisifia wao kwa wao ndio waliopishana kuhusu mshindi wakati huo huo matokeo yanajulikana na kila Mkenya kuwa mshindi ni Ruto na sio Odinga.
Haiwezekani tume huru wao kwa wao wawe na makundi ndani yao wenyewe, kuna waliokuwa wanamuunga mkono Ruto aliyeshinda kwa haki na wengine walitaka Odinga atangazwe wakati wanajua kabisa hakushinda.
Haiwezekani makamu mwenyekiti apinge matokeo wakati huo huo mwenyekiti anataka kutoa matokeo ya uchaguzi.
Unaweza ukawa na tume huru lakini sio ya watu sahihi.