Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 Nov 5, 2010 #3 nimeipenda sana hapo lazima kieleweke
L Lweye Senior Member Apr 15, 2010 149 85 Nov 5, 2010 #4 Ee bwana hiyo timu labda ya mechi ya kirafiki. Kama ni ya kutafuta point haiwezekani Tundu Lisu asiwemo. Irekebishe mkuu!
Ee bwana hiyo timu labda ya mechi ya kirafiki. Kama ni ya kutafuta point haiwezekani Tundu Lisu asiwemo. Irekebishe mkuu!
A admissionletter JF-Expert Member Sep 20, 2010 329 157 Nov 5, 2010 #5 Mimi naona Tundu Lissu ambaye hukumuweka kwenye hii list atakuwa kinara wa mabadiliko katika bunge linalokuja. Ni intellectual activist na haogopi
Mimi naona Tundu Lissu ambaye hukumuweka kwenye hii list atakuwa kinara wa mabadiliko katika bunge linalokuja. Ni intellectual activist na haogopi