umekosea shehe wangu umequote busara za mkafiri kwani hakuna za mwislam mwenzetu? usiwakweze hao mazayuni na busara zao
''Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking''. Albert Eistein
Inaonekana unatumia nguvu nyingi sana kurejea kwenye historia ya Cuf unguja bila ya kujaribu kui-relate na hali ya sasa kwa CDM na wananchi wa bara na kwingineko duniani pamoja na hali zao!