Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,874
- 33,366
Chadema si baba yako wala mama yakoMama yako ndie muuzaji katika hilo genge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema si baba yako wala mama yakoMama yako ndie muuzaji katika hilo genge?
Ok. Endelea na ushabikiMbowe akijua umuhimu wa Slaa ulitaka ambebe mgogoni au ampigie magoti, Nyerere alipoondoka tulilia sana tukadhani ndio mwisho wa Tanzania, lkn nchi inasonga, siasa za Slaa zimeshapita ni ujinga kuendelea kumlilia kila siku, focus the future.
Mwenzio kaona mbali, wewe umeona uchademaHebu ingia deep kwenye mada yako, maana Umeandika Kama YEHODAYA, na siyo Quinine ninayekujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu Slaa Slaa what is Slaa bwana, huwezi kuishi bila Slaa, he is a spent spade muda wake ulikuwa ule focus the future.
Huyu dogo siyo kabisa.Ni nyoka wa kijani.Sijui kwa nini Nasari bado hajanishawishi.....
Haiwezekani asihudhurie vikao vya bunge zaidi ya 20 bila kulitaarifu bunge wala kuwa na sababu za msingi halafu aje na utetezi cheap kiasi hiki. Kwa hili Ndugai yuko sahihi ingawa amelifanya kisiasa.
Inawezekana CCM wamekuja kivingine ili Chadema wenyewe wawe watetezi wa adui wao wenyewe.
Chadema wakimtetea wajue wanatetea nyoka abaki chumbani. Mbona dalili zilianza kuonekana mapema?
Naam! Umesema vyemaSijui kwa nini Nasari bado hajanishawishi.....
Haiwezekani asihudhurie vikao vya bunge zaidi ya 20 bila kulitaarifu bunge wala kuwa na sababu za msingi halafu aje na utetezi cheap kiasi hiki. Kwa hili Ndugai yuko sahihi ingawa amelifanya kisiasa.
Inawezekana CCM wamekuja kivingine ili Chadema wenyewe wawe watetezi wa adui wao wenyewe.
Chadema wakimtetea wajue wanatetea nyoka abaki chumbani. Mbona dalili zilianza kuonekana mapema?