Sijui kwa nini Nasari bado hajanishawishi.....
Haiwezekani asihudhurie vikao vya bunge zaidi ya 20 bila kulitaarifu bunge wala kuwa na sababu za msingi halafu aje na utetezi cheap kiasi hiki. Kwa hili Ndugai yuko sahihi ingawa amelifanya kisiasa.
Inawezekana CCM wamekuja kivingine ili Chadema wenyewe wawe watetezi wa adui wao wenyewe.
Chadema wakimtetea wajue wanatetea nyoka abaki chumbani. Mbona dalili zilianza kuonekana mapema?
Haiwezekani asihudhurie vikao vya bunge zaidi ya 20 bila kulitaarifu bunge wala kuwa na sababu za msingi halafu aje na utetezi cheap kiasi hiki. Kwa hili Ndugai yuko sahihi ingawa amelifanya kisiasa.
Inawezekana CCM wamekuja kivingine ili Chadema wenyewe wawe watetezi wa adui wao wenyewe.
Chadema wakimtetea wajue wanatetea nyoka abaki chumbani. Mbona dalili zilianza kuonekana mapema?