mmh JF-Expert Member Nov 9, 2010 2,910 5,081 May 31, 2021 #2 Yaani ngazi anayo ccm inayoweza kuwavusha cdm, na ccm ndo anakunywa nayo juice kabisa!! Mbowe upo?
GeoMex JF-Expert Member Jan 10, 2014 5,431 19,775 May 31, 2021 #3 mmh said: Yaani ngazi anayo ccm inayoweza kuwavusha cdm, na ccm ndo anakunywa nayo juice kabisa!! Mbowe upo? Click to expand... CCM alivyopanda akachomoa ngazi akalemaa anakunywa juis alijua aliye chini hawezi mpandia tena ila mwenzake kaja kwa droni kidijitali zaidi
mmh said: Yaani ngazi anayo ccm inayoweza kuwavusha cdm, na ccm ndo anakunywa nayo juice kabisa!! Mbowe upo? Click to expand... CCM alivyopanda akachomoa ngazi akalemaa anakunywa juis alijua aliye chini hawezi mpandia tena ila mwenzake kaja kwa droni kidijitali zaidi
Ugumu wangu JF-Expert Member May 6, 2021 1,685 3,549 May 31, 2021 #4 Kiukweli wanaowaza ipo siku Chadema itakufa futeni hayo mawazo hili ni dude jingine