jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Tukisema nchi ni kama haina rais, tutaambiwa tunamuonea mama!
Hata kama nchi ina rais, ni kwasababu matendo yanayoendelea ambayo rais anayafumbia macho, ndiyo maana inaonekana kana kwamba hakuna rais. Lakini Yupo na matendo hayo ameyabariki.
Na kwa mantiki hiyo, hafai kuwa rais.
Hata kama nchi ina rais, ni kwasababu matendo yanayoendelea ambayo rais anayafumbia macho, ndiyo maana inaonekana kana kwamba hakuna rais. Lakini Yupo na matendo hayo ameyabariki.
Na kwa mantiki hiyo, hafai kuwa rais.