Nawashauri Chadema au CUF kufanya Primaries election ktk Mikoa yote ya TZ mwaka 2013-14 ili kumtafuta mgombea rasmi wa uchaguzi wa mwaka 2015.
Chadema-CUF kama mtafanya hivyo, mtaweza kujenga misingi imara ya Demokrasia ktk vhama vyenu , also pia kwa TZ ujumla. Kuna mazuri mengi ambayo yatatokea iwapo Chadema au CUF watafanya hii prmaries election.
Kutakuwepo na Debate miongoni mwa Wanachadema au CUF. Hii itasaidia kuonesha knowledge ya viongozi wetu wa baadaye ktk masuala ya uongozi.
Also, WTZ watewza kuona jinsi Demokrasia inavyokuwa ktk nchi. Itasadia kujenga trust miongomoni mwa WTZ.
Itawapa pressure CCM, ambapo baadaye itabidi ifanye kama vile walivyofanya Chadema-CUF.
Chadema-CUF kama mtafanya hivyo, mtaweza kujenga misingi imara ya Demokrasia ktk vhama vyenu , also pia kwa TZ ujumla. Kuna mazuri mengi ambayo yatatokea iwapo Chadema au CUF watafanya hii prmaries election.
Kutakuwepo na Debate miongoni mwa Wanachadema au CUF. Hii itasaidia kuonesha knowledge ya viongozi wetu wa baadaye ktk masuala ya uongozi.
Also, WTZ watewza kuona jinsi Demokrasia inavyokuwa ktk nchi. Itasadia kujenga trust miongomoni mwa WTZ.
Itawapa pressure CCM, ambapo baadaye itabidi ifanye kama vile walivyofanya Chadema-CUF.