GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
go to hell unataka za nini uliza za CCM WEMWEHU KABISA CANT YOU SIT AND THINK POSITIVE
hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za chadema walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
kwani hii forum ilitengenezwa kwa ajili ya kuponda ccm na kuktetea chadema. Tupeni majibu mimi naunga mkono hoja tupewe cost nina machungu ya kukesha kulinda kura ukonga
Ha ha haaa! Jamani tafakarini kabla ya kujipa majina! GeniusBrain kweli ni TAAHIRA!!!:bowl:
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
Akili -Mgando/Muozo.Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
kwanini usiende kumuuliza mkurugenzi wa uwt gharama za kuchakachua kura za wananchi. Mmeshatuibia kura zetu sasa mnakuja kujiunga kwa wingi jf kwa nia ya kutaka kutushawishi kuwa tumepoteza muda bure. Hiyo haiwezekani, wizi mliotufanyia ndio utakuwa chachu ya kuanza kupanga mikakati ya kuzuia wizi wa 2015 ili tusiwaachie watoto wetu taifa lenye wezi wa kura kama ninyi kama walivyofanya wazee wetu. Tazama join dat zenu mtagundua nia yenu.