Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Tuhuma zinazotolewa dhidi ya zitto na wenzake kwamba wamenunuliwa na chama fulani cha siasa zinaitaji maelezo na vielelezo vya kina ili kuaminisha wengi.Nasema hivi kwa sababu historia Yao inadhihirisha kuwa wanauchungu na chama chao.chama kinachoongozwa kwa demokrasia na kinachotarajiwa kushika madaraka ya kuongoza nchi Lazima kionyeshe uwezo mkubwa wa kuvumiliana,kutafakari,kusamehe,kuaminiana na kujenga umoja wenye lengo la kuelekea kusudio lake"NUKUU