only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Uongozi wa CHADEMA mkoani mwanza ukiungwa mkono na uongozi wa kitaifa wa CHADEMA wametoa masaa 36 wahuni na majambazi wa CCM waliowavamia wabunge wa ilemela na Ukerewe wakamatwe.La sivyo nguvu ya umma ifanye kazi.Akiongea na wananchi mbunge Wenje amesema hawawezi kuvumilia kauli zinazotofautiana kila siku toka kwa kamanda wa mkoa wa Mwanza.
Source: Radio free africa.
Source: Radio free africa.